GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wewe ndio pimbi. Kwataarifa yako chombo Cha habari kinachofuatiliwa zaidi Ni Redio hata mitandao haioni ndaniHivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redioni?
Mkuu Vijana Wanaotekwa / Wanaoshindiliwa yote ndiyo huwa na hiyo tabia. Safi sana kwa Kumuelimisha.Wewe ndio pimbi. Kwataarifa yako chombo Cha habari kinachofuatiliwa zaidi Ni Redio hata mitandao haioni ndani
Majalibio ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vyema kwa Kiswahili Sanifu huwezi je, utaweza Kupambana na hiki Kichwa cha Kizanaki, Kiyao na Kitutsi?Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
Kwamba taarifa zote zipo kiganjani kwenye simu unapata Kila kituHivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redion
Itoshe kusema kwamba wewe ni mpumbavu. dunia nzima mpira bado unatangazwa kwenye redio na vipindi vya redio vya michezo ndivyo vinavyo ongozwa kufuatiliwa na watu. halafu, wewe unajifanya mjanja kisa kutumia hivyo vionline tv ni mjanja au vikurasa vya instagram na mitandao mingine ya kijamii. hovyo sana wewe mtu.Hivi kwenye Dunia ya leo kumbe bado kuna mapimbi wanasikiliza vipindi vya michezo redioni?
We gay wa Kiyao Tuliza O,unawashwa?Majalibio ndiyo Kiswahili gani na cha wapi hiki? Sasa kama Kuandika tu vyema kwa Kiswahili Sanifu huwezi je, utaweza Kupambana na hiki Kichwa cha Kizanaki, Kiyao na Kitutsi?
Huna Akili.
Jamaa anatabia za kishoga sana,anashobokaa hovyoo. Pole mkuu!Mkuu mbona unanitukana bila sababu?
Daah kumbe tayari kashapoteza marinda yake?Jamaa anatabia za kishoga sana,anashobokaa hovyoo. Pole mkuu!
We utopolo muongo, gamo boy amesema baleke inabidi apambanie namba.Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
Acha Upuuzi, umezidi"Nitakuwa ni Kocha wa ajabu niache Kuwapanga akina Dube na Mzize ambao wananionyesha bidii kubwa kuanzia Mazoezini na hata katika kila Mechi ambazo huwa nawapanga halafu nimpange Baleke ambaye hata nikimpa tu nafasi kwa dakika chache hakuna anachonipa" amesema Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi.
Chanzo: Spoti Leo ya Radio One iliyoko hewani sasa
Kwa zile Dharau na Nyodo alizotufanyia Simba SC baada ya Kuachwa na kwenda Yanga SC nilijua tu yatamkuta haya.
baleke anapikwa si muda mrefu kutoka sasa utamuona"Nitakuwa ni Kocha wa ajabu niache Kuwapanga akina Dube na Mzize ambao wananionyesha bidii kubwa kuanzia Mazoezini na hata katika kila Mechi ambazo huwa nawapanga halafu nimpange Baleke ambaye hata nikimpa tu nafasi kwa dakika chache hakuna anachonipa" amesema Kocha Mkuu wa Yanga SC Miguel Gamondi.
Chanzo: Spoti Leo ya Radio One iliyoko hewani sasa
Kwa zile Dharau na Nyodo alizotufanyia Simba SC baada ya Kuachwa na kwenda Yanga SC nilijua tu yatamkuta haya.
Kwahiyo mechi na CBE ilikuwa na presha?Hajasema ivoo we koloo, coach is very humble.Mechi ni nyingi sanaaa ,mechi zisiso na pressure kama za league hakika atachezaa tu Ili aaingie kwenye mfumo. Hata ningekuoa mie kocha mechi zilizopita ni lazimaa niwekee mtu sio kwa majalibioo.
Ulijaa katika 18 zangu na naona bado tu unaendelea Kujaa.Mkuu mbona unanitukana bila sababu?
Sasa inakuwaje kila mara tu Unammanulia Gay wa Kiyao ili aishindilie vizuri?We gay wa Kiyao Tuliza O,unawashwa?