Mwambieni kocha Fadlu mashabiki wa Simba tumechoka na ufundishaji wake wa 'Back Pass'

Mwambieni kocha Fadlu mashabiki wa Simba tumechoka na ufundishaji wake wa 'Back Pass'

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Hakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo,

Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama ndio modern football Simba imezidisha, leo Back Pass ndio imemfanya mtoto wa watu ashikiwe bango siku nzima ingawa nina uhakika kabisa ile ni shoti.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.

Ngoja nilale mimi nisije kuambiwa sio Simba
 
Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.
 
Hakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo,

Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama ndio modern football Simba imezidisha, leo Back Pass ndio imemfanya mtoto wa watu ashikiwe bango siku nzima ingawa nina uhakika kabisa ile ni shoti.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.

Ngoja nilale mimi nisije kuambiwa sio Simba
Mabeki wetu wananyanganywa kirahisi mpira ukikutana na watu wanaotumia nguvu na wenye kasi.
Wachezaji wa nyuma mwiko hawajawahi kuadhibiwa kwa ku push wakati wanakaba,huwa wanaita 50-50!

Sasa Simba jichanganyeni kwa kucheza back pass!

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Simba washambaa sana,hii ndio hutofautisha mashabiki wa Simba na Yanga. Yanga wametulia sanaaa umakini mkubwaa,ila makoloo Nikama Hawana vichwaa🤣,Badala ya kujua kua Soka ndio lilivyo,vyenyewee vinaenda kwenye mechi tayari vinawaza tumeshashinda mamaamae🤣🤣😀
 
Back pass zinakuwa na maana iwapo tu timu pinzani imepaki basi. Hapo ndio back pass zinatumika ili kuwavuta wapinzani na kujenga mashambulizi kuanzia nyuma. Sasa huu mfumo wa Simba wa back pass ni wa kijinga kabisa kuwahi kutokea duniani. Fountaine Gate wamekuja mpaka kwenye boksi lenu tena wachezaji watatu that means kule kwenye beki zao na kati kati namba ya wachezaji wao na wa Simba imebalansi kiaina lakini mambo ya ajabu bado Simba walikuwa wanalazimisha waanze pale pale kwenye boksi.

Na huu ujinga wa back pass kwa Simba ilikuwa ni suala la muda tu kabla haujawaletea madhara hasa ukizingatia Che Malone ana kigugumizi cha miguu. Na huu mfumo unampa shida sana Mpanzu kucheza kwa sababu yeye yupo direct sana kiasi anaweza kukimbia na mpira kwa usahihi hata mita ishirini na akifika kwenye goli la timu pinzani akipiga krosi hakuna mshambuliaji anayefika kwenye goli kwa wakati.
 
Na siku hizi "Back
Hakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo,

Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama ndio modern football Simba imezidisha, leo Back Pass ndio imemfanya mtoto wa watu ashikiwe bango siku nzima ingawa nina uhakika kabisa ile ni shoti.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.

Ngoja nilale mimi nisije kuambiwa sio Simba
Na siku hizi "Back pass" master Mavambo anaanzia benchi.
 
Upo sahihi Ila Ngoma muondoe timu ipo karibu na goli la mpinzani inarudisha mpira nyuma, magoli yote yaliyosababishwa na Che Malone sababu ni back pass.
Kagoma mbali ya kukata umeme mchango wa kumshambulia ni mdogo Sana, Hamza badala ya kuanzisha mashambulizi anawaza kurudishampira.
Pia sub zake za Mutale azuiwe sababu Hana impact yoyote ..
 
Hakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo,

Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama ndio modern football Simba imezidisha, leo Back Pass ndio imemfanya mtoto wa watu ashikiwe bango siku nzima ingawa nina uhakika kabisa ile ni shoti.

Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025

Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.

Ngoja nilale mimi nisije kuambiwa sio Simba
👳
 
Ni kweli kabisa.
Unapigaje back pass huku una kagoli kamoja.
Ila kiukweli Yanga bado wako vizuri kupita Simba.
Pia wanapambana dakika 90+
Simba wapambanaji ni Shabalala, Kapombe na Kibu D.
 
Kocha anasema bado anakinoa kikosi chake, hayo ndiyo makosa atakayorekebisha ili timu iendelee kuimarika.
 
Back pass , wachambuzi wenu wanaita Team Build Up kuanzia nyuma na Camara ndio muanzisha pass 🤣🤣
 
Bado Camara naye muda si mrefu atanasa kama alivyonasa Diara kwenye mechi ya Kengold. Kiherehere chake cha kutoka kwenye boksi ili tu auguse mpira ambao mabeki wake wanaweza kupasiana bila yeye kuhitajika kuugusa kuna siku litamkuta jambo. Naona ameshasau yale majanga ya "derby" pale alipotoa "assist" wakati mpira unatoka nje akaurudisha ndani.
 
Back
Top Bottom