SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Sidhani kama Fadlu ndiye anawafundisha hizo mnaita "back-passes".
Ukiangalia goli ambalo Chasambi kajifunga, Fadlu alikuwa anasisitiza wachezaji wapeleke mpira mbele. Ukiangalia pia goli alilofunga Kapombe mechi iliyopita dhidi ya Tabora, Fadlu alikuwa anasisitiza muda mrefu waende mbele ila ni kama walikuwa hawamzingatii.
Tatizo la backpasses ni sugu pale Simba limekuwepo kabla ya Fadlu na mimi nimeshawahi kulipigia sana kelele huko nyuma.
Ukiangalia goli ambalo Chasambi kajifunga, Fadlu alikuwa anasisitiza wachezaji wapeleke mpira mbele. Ukiangalia pia goli alilofunga Kapombe mechi iliyopita dhidi ya Tabora, Fadlu alikuwa anasisitiza muda mrefu waende mbele ila ni kama walikuwa hawamzingatii.
Tatizo la backpasses ni sugu pale Simba limekuwepo kabla ya Fadlu na mimi nimeshawahi kulipigia sana kelele huko nyuma.