Ni kweli mkuu. Na bado ujinga mwingine wakishafunga goli moja, mbili au tatu hivi basi wanaanza ujinga wao mwingine wakupigiana pasi fupi fupi wenyewe kwa wenyewe mpaka adui afike badala ya kwenda mbele kuongeza magoli. Na mashabiki wao nao wanawasafia eti pira biriani na wachezaji wakisikia mashabiki wanakaanga chipsi jukwaani ndio wanazidisha show game badala ya kutafuta mtaji wa magoli mengi. Wenzao Yanga wakikuta kibonde wanakung'uta tano au sita. Wakija kulingana pointi mwishoni mwa ligi Yanga ataibuka kidedea kwa uwiano mzuri wa magoli na Simba watapiga kelele nyingi za lawama kumbe uzembe ni wa kwao wenyewe.Sidhani kama Fadlu ndiye anawafundisha hizo mnaita "back-passes".
Ukiangalia goli ambalo Chasambi kajifunga, Fadlu alikuwa anasisitiza wachezaji wapeleke mpira mbele. Ukiangalia pia goli alilofunga Kapombe mechi iliyopita dhidi ya Tabora, Fadlu alikuwa anasisitiza muda mrefu waende mbele ila ni kama walikuwa hawamzingatii.
Tatizo la backpasses ni sugu pale Simba limekuwepo kabla ya Fadlu na mimi nimeshawahi kulipigia sana kelele huko nyuma.
Yule wa Objective football ndio alikuwa mwenyewe sasa. Pira linapigwa kwenda mbele kulisakama langu la mpinzani MWAMWIHakuna kitu kinachotukera ndani ya Simba kama Back Pass, mpira akishika Razak Hamza anarudisha kwa Camara, Che Malone akianzishiwa mpira anasogea nao halafu anamrudishia tena Camara, Kagoma naye hivyo hivyo,
Ngoma naye hivyo hivyo, yaani kurudisha nyuma kwa kipa Camara yaan Back Pass hata kama ndio modern football Simba imezidisha, leo Back Pass ndio imemfanya mtoto wa watu ashikiwe bango siku nzima ingawa nina uhakika kabisa ile ni shoti.
Soma Pia: Full Time: Fountain Gates FC 1-1 Simba SC | NBC Premier League | Kwaraa Stadium, Babati | 06-02-2025
Ufundishaji huu wa Back Pass tukiendelea nao tarehe 8 Machi tumekwisha, wale cjui Pacome, Mzize, Mzengeli, na Aziz mh.
Ngoja nilale mimi nisije kuambiwa sio Simba
Unakosea kusema mashabiki wa Simba walikuwa wanafurahia backpasses. Hakuna ubaya kufurahia udambwidambwi ukifanyika mara moja moja ila hapa tunaongelea backpasses.Ni kweli mkuu. Na bado ujinga mwingine wakishafunga goli moja, mbili au tatu hivi basi wanaanza ujinga wao mwingine wakupigiana pasi fupi fupi wenyewe kwa wenyewe mpaka adui afike badala ya kwenda mbele kuongeza magoli. Na mashabiki wao nao wanawasafia eti pira biriani na wachezaji wakisikia mashabiki wanakaanga chipsi jukwaani ndio wanazidisha show game badala ya kutafuta mtaji wa magoli mengi. Wenzao Yanga wakikuta kibonde wanakung'uta tano au sita. Wakija kulingana pointi mwishoni mwa ligi Yanga ataibuka kidedea kwa uwiano mzuri wa magoli na Simba watapiga kelele nyingi za lawama kumbe uzembe ni wa kwao wenyewe.