Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Jinsi yako tafadhali! Ni Me au Ke?
[emoji1787][emoji23][emoji23]Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.View attachment 2700837
asake wa tandale😂Eti "Kwevo" [emoji23]
madawa labda, kukonda haraka ni dalili ya madawaHivi mondi anakula ngada au kilevi gani? Kuna video 1 anashuka kwenye gari ana wenge si mchezo, kiasi anaelekezwa sehemu ya kuingilia kwenye gari.
Ni vitu vinavyonipa shaka, namsikitikia kijana kama kweli atakuwa anabwia poda.madawa labda, kukonda haraka ni dalili ya madawa
Uzi wa kipuuzi sana.Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.View attachment 2700837
Yule Asake aisee level zake huyu hawezi kumpata,,,tatizo la kwevo kauswahili hakamwishi😊😊😊asake wa tandale😂
Kwa miguu hii kama minazi ya coco beach msanii wenu “Kwevo” anazingua sana kuvaa vipensi “vinjunga”. Kwaufupi anazingua.View attachment 2700837
Unfortunately, hakuna atakayekuelewa hapa lakini ndio ukweli wenyewe huu!Ukweli maskini huwa tuna njia ya kutafuta relief kwa watu waliotuzidi tukifikiri kufanya hivyo ni kutafuta uwiano na wao.