So far Adui wa Watanzqnia ni yule Aliyewauza Wananchi na Kugawia Bandari yao kwa Mwarabu.Makonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Paulo Makonda ni Mwalimu wa Sekondari ulikutana nae 1996? Asante, naona DAB anakuzoom tuDaudi Albert Bashite.
Swali.
Kuna mwalimu mmoja nilikutana naye mwaka 1996 mkoani Tabora na jina lake aliitwa hivyohivyo, Paulo Makonda.
Sijajua uhusiano au ni mfanano wa majina tu.Kazima Sekondari.
Ndiyo atuambie kama ni jina lake la urithi au alibatizwa ukubwani.Nakumbuka huyo mwalimu alikuwa ni headmaster wa hiyo Kazima Sekondari baada ya Mama Muhoja kuhama.Paulo Makonda ni Mwalimu wa Sekondari ulikutana nae 1996? Asante, naona DAB anakuzoom tu
Paulo Makonda ni alikua headmaster wa Kazima Sekondari mwaka 1996 baada ya Mama Muhoja aliekua headmaster kuhama, naona DAB anakuzoom kwa sautiNdiyo atuambie kama ni jina lake la urithi au alibatizwa ukubwani.Nakumbuka huyo mwalimu alikuwa ni headmaster wa hiyo Kazima Sekondari baada ya Mama Muhoja kuhama.
Ana mazonge mengi huyo jamaa.Hivi atajinunisha kwa swali hilo tu.Paulo Makonda ni alikua headmaster wa Kazima Sekondari mwaka 1996 baada ya Mama Muhoja aliekua headmaster kuhama, naona DAB anakuzoom kwa sauti
DAB hawezi kukujibu swali hilo atakuchimbia biti km alivyomchimbia Chongolo alipokua Kinondoni, DAB wa kuvimba sio kununaAna mazonge mengi huyo jamaa.Hivi atajinunisha kwa swali hilo tu.
Atamvimbia nani na mikono yake mipana kama mcheza show wa zamani wa Twanga Pepeta aliitwa mama Mingoi?πππDAB hawezi kukujibu swali hilo atakuchimbia biti km alivyomchimbia Chongolo alipokua Kinondoni, DAB wa kuvimba sio kununa
ππβΊοΈ Mingoi ngoi ngoi ngoingo π€£Atamvimbia nani na mikono yake mipana kama mcheza show wa zamani wa Twanga Pepeta aliitwa mama Mingoi?πππ
Kwani Makonda ni adui wa nani?Makonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
πππππMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Watanzania toka lini wakawa na uadui na Magufuli mbona mnatumia propaganda nyingi kuaminisha umma Magufuli alikuwa adui wa wote sema adui yenu nyie vyeti feki,mafisadi,wala rushwa,wauza ngadaMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Hivi maadui wa Watnzania kwani hawajulikani?Kwani Makonda ni adui wa nani?
Sema adui yako. Magufuri hakuwa na ugomvi na watanzania walio wengi. Maadui zake ni wenye vyeti feki, wauza madawa ya kulevya, wezi ambao aliwatumbua serikalini, wavivu na watu wa aina hiyo. Hawa huhisi kuwa Magufuri aliwashughulikia kwa kuwaonea. Takwimu mtaani zinasema kinyume na haya unayosema hapaMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Makonda alikuwa bepari na ni bepari mpaka sasa kwa hio ni mwizi toka enzi acha jua liwakeMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.