- Thread starter
- #21
Jiwe alikuwa muuaji.Sema adui yako. Magufuri hakuwa na ugomvi na watanzania walio wengi.j
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe alikuwa muuaji.Sema adui yako. Magufuri hakuwa na ugomvi na watanzania walio wengi.j
Jiwe mbona alikuwa fresh tu, uliwahi kula za uso kutoka kwake? Na sisi akikaka kimya bila kumtajataja magufuli katika hotuba zake tutamuona ni mlamba viatu wa waliomkuza mpaka magufuli akamuona na ni haohao wamemrudisha chatini baada ya kudidimia kisiasa kwa muda tangu atoke ukuu wa mkoa. Asiwe mnafiki aimbe mapambio na korasi kumtajataja magufuli katika hotuba zake.Makonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Khanithiiii wwMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.
Adui wa nyumbuMakonda hajasimama kwenye majukwaa ya kisiasa kwa muda, hivyo anaweza akaja na wenge la kumtaja taja adui wa watanzania (jiwe) kwenye hutuba zake.
Wenye nchi tutakuwa tunafuatilia sana hotuba zake. Akijichanganya tu, ajkalitaja jina la dikteta jiwe (in a positive way), atatumbuliwa na kupotezwa mazima.