Mwambieni Makonda asithubutu kulitaja taja jina la Hayati Magufuli, atatumbuliwa

Jiwe mbona alikuwa fresh tu, uliwahi kula za uso kutoka kwake? Na sisi akikaka kimya bila kumtajataja magufuli katika hotuba zake tutamuona ni mlamba viatu wa waliomkuza mpaka magufuli akamuona na ni haohao wamemrudisha chatini baada ya kudidimia kisiasa kwa muda tangu atoke ukuu wa mkoa. Asiwe mnafiki aimbe mapambio na korasi kumtajataja magufuli katika hotuba zake.
 
Khanithiiii ww
 
Adui wa nyumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…