GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Aliyekuwa winga wa klabu za Simba na Yanga, Bernard Morrison amempa maua yame kipa Aishi Manula kwa kiwango kizuri alichokioinesha katika mchezo wa kufuzu Afcon 2025 dhidi ya Guinea.
Morrison ameweka ujumbe katika Insta story yake baada ya Taifa Stars kuichapa Guinea bao 1-0 na kufuzu michuano ya Afcon 2025.
"Aishi Salum Manula Atalala kitandani kwake kwa miaka mitano na bado atarudi kuwa kipa bora. Usahihi, mbinu na ubora," ameandika Morrison.
Manula amekuwa nje kwa muda mrefu akiuguza jeraha la mguu baada ya kupona akawa anakaa benchi Simba huku Moussa Camara wa Guinea akianza golini.
Chanzo: mwananchi_official
Kipa Mpuuzi sana na ni mpenda Hela (Duka) halafu Mnafiki na Muongo. Nina Hasira nae hadi leo kwa zile Goli 5 kwa 1.
Morrison ameweka ujumbe katika Insta story yake baada ya Taifa Stars kuichapa Guinea bao 1-0 na kufuzu michuano ya Afcon 2025.
"Aishi Salum Manula Atalala kitandani kwake kwa miaka mitano na bado atarudi kuwa kipa bora. Usahihi, mbinu na ubora," ameandika Morrison.
Manula amekuwa nje kwa muda mrefu akiuguza jeraha la mguu baada ya kupona akawa anakaa benchi Simba huku Moussa Camara wa Guinea akianza golini.
Chanzo: mwananchi_official
Kipa Mpuuzi sana na ni mpenda Hela (Duka) halafu Mnafiki na Muongo. Nina Hasira nae hadi leo kwa zile Goli 5 kwa 1.