Umesahau kumwambia kuwa Granada na Levante wakija EPL hawatabanduka kwenye top four kama sio kuchukua ndoo....!
Mwambie kuwa La liga ni ligi bora kuliko EPL
Mwambie kuwa La liga imedominate soka la Ulaya kwa miaka 10 mfululizo, Champions League na Europa League
Pia mwambie Real Madrid ndio club tajiri kuliko zote dunian
Mwambie kuwa Barcelona yake ilikuwa tishio haijawahi tokea katika ulimwengu wa soka tuka dunia imeumwa
Mwambie pia, alimtetemesha Fargie na EPL yote
Mwambie pia, Messi wake alimtwanga 4 Wenger
Mwambie EPL ni internal league, nje ya hapo, wanapigwa hata na vitimu vya mtaani huko Slovakia