Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mwehu wewe hapo ni baada ya mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama kwenda.Nasimamia upande wa Wamasai, kamwe SERIKALI ya CCM haijawahi kuwa agenda njema kwa nchi hii..
Tulia Akson anataka watafutwe waliorekodi tukio la kinyama la Loliondo, sasa asipate shida. Hawa hapa Chini.
Mods msiunganishe Ili ujumbe ufike faster
Wewe ndo mwehu!Mwehu wewe hapo ni baada ya mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama kwenda.
Weka hapa ile kripu tuone kama hao wapo.
Hivi huyo madai kaingia hapo Ngorongoro leo au jana labda?yoyote anaetetea Masai waendelee kuharibu Ngorongoro ni mjinga kuliko lubega ya Masai.
mjinga kuliko lubega ya Masai.
Mwehu wewe
Kesi inatoka kwa mbwa inaenda kwa mbwa
kripu ni nini?Mwehu wewe hapo ni baada ya mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama kwenda.
Weka hapa ile kripu tuone kama hao wapo.
Kuwa mwanasiasa sio kubahatika mlamu.Ukiwa daktari wa PhD halafu ukabahatika kuwa mwanasiasa Afrika yaani sijui ufahamu, akili na maarifa vinaendaga wapi.
KripuMwehu wewe hapo ni baada ya mkuu wa wilaya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama kwenda.
Weka hapa ile kripu tuone kama hao wapo.
Hahahàa achana naekripu ni nini we pongo?
Kheee..!!!! yaana badala ya kuhangaika na waliofanya tukio la kinyama, yeye anahaha kutafuta waliorekodi tukio hilo..!!! WANDAZI SHALI NEVA ENDIII..!!! Hivi aliyerekodi na aliyetenda tuko nani mkatili?Nasimamia upande wa Wamasai, kamwe SERIKALI ya CCM haijawahi kuwa agenda njema kwa nchi hii..
Tulia Akson anataka watafutwe waliorekodi tukio la kinyama la Loliondo, sasa asipate shida. Hawa hapa Chini.
Mods msiunganishe Ili ujumbe ufike faster
Naona bwana fisi 2 unatetea makazi yako kwa kutaka watu wauwaweyoyote anaetetea Masai waendelee kuharibu Ngorongoro ni mjinga kuliko lubega ya Masai.
yeyote anayetetea mwarabu kuhongo Ikulu ni msaliti
yoyote anaetetea Masai waendelee kuharibu Ngorongoro ni mjinga kuliko lubega ya Masai.
Wewe umehongwa na waarabu ili wachukue maeneo yetuNa ni bora wamepelekwa tanga huko, wakashangae mji kidogo, huko maporini walikua wanapoteza muda kila siku kuonana na wanyama.