Mwambieni Zitto IGA ni sawa na Katiba ya nchi na HGA ni sawa na sheria ya nchi. Sasa ipi inamtegemea mwenzie?

Mwambieni Zitto IGA ni sawa na Katiba ya nchi na HGA ni sawa na sheria ya nchi. Sasa ipi inamtegemea mwenzie?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Zitto anasema IGA ni sawa na karatasi ya kufungia vitumbua, je anajua uzito wa IGA?

Kwamsiojua Intergovernmental Agreement tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni KATIBA YA NCHI.

Kisha Host Gorvanment Agreement au Mikataba ya Utekelezaji, tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni SHERIA ZA NCHI.

Hivyo Intergovernmental Agreement(IGA) inanguvu kuliko Mikataba ya Utekelezaji HGA (Host Gorvanment Agreement).

Tukikosea tukapitisha katiba/Intergovernmental Agreement mbovu, basi tutarajie Mikataba ya Utekelezaji mibovu zaidi, Kwakuwa Mikataba yote itakayosainiwa haitatoka nje ya yale yaliyomo kwenye Intergovernmental Agreement.
 
IGA hailazimishi mkataba wowote ule kusainiwa....mnaweza kuwa na IGA na msisaini...mkataba vile vile kama hamjaelewana.

Zitto Yuko sahihi
 
hayuko sahihi, angalia implication za IGA in case of breach of HGA
Content ya IGA ina matter, je kama inasema lazima mikataba husika iwepo kama one of agrement utaachacje ku sign mikataba? Kumbuka kwenye hiyo IGA kuna clouses zinasema "Serikali ya ya Tanzania inawajibika..." e.g kutoa ardhi je hiyo tu garantee siyo mkataba wa kutoa ardhi tayari wakati utoaji wa hati ndiyo hiyo HGA yenyewe kwa mfano?

Hivi mnadhani watanzania wa leo ni wajinga?
 
Zitto anasema IGA ni sawa na karatasi ya kufungia vitumbua, je anajua uzito wa IGA?

Kwamsiojua Intergovernmental Agreement tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni KATIBA YA NCHI.

Kisha Host Gorvanment Agreement au Mikataba ya Utekelezaji, tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni SHERIA ZA NCHI.

Hivyo Intergovernmental Agreement(IGA) inanguvu kuliko Mikataba ya Utekelezaji HGA (Host Gorvanment Agreement).

Tukikosea tukapitisha katiba/Intergovernmental Agreement mbovu, basi tutarajie Mikataba ya Utekelezaji mibovu zaidi, Kwakuwa Mikataba yote itakayosainiwa haitatoka nje ya yale yaliyomo kwenye Intergovernmental Agreement.
Nakazia
 
IGA hailazimishi mkataba wowote ule kusainiwa....mnaweza kuwa na IGA na msisaini...mkataba vile vile kama hamjaelewana.

Zitto Yuko sahihi
Sasa kama IGA inasema kuwa hamuwezi kusaini mkataba wowote na mtu mwingine katika eneo husika bila kuwashirikisha wao ? Hii si itamaanisha kuwa msiposaini HGA nao hamna mkataba mwingine mkaoweza kuingia katika sehemu husika? Hamtaweza hata kufanyia maintenance vifaa vilivyopo.

Hauwezi kusema mkataba unaopata ridhaa ya viongozi wa nchi pamoja na bunge kuwa ni karatasi la kufungia vitumbua.

Amandla...
 
Sasa kama IGA inasema kuwa hamuwezi kusaini mkataba wowote na mtu mwingine katika eneo husika bila kuwashirikisha wao ? Hii si itamaanisha kuwa msiposaini HGA nao hamna mkataba mwingine mkaoweza kuingia katika sehemu husika? Hamtaweza hata kufanyia maintenance vifaa vilivyopo.

Hauwezi kusema mkataba unaopata ridhaa ya viongozi wa nchi pamoja na bunge kuwa ni karatasi la kufungia vitumbua.

Amandla...
 
Zitto anasema IGA ni sawa na karatasi ya kufungia vitumbua, je anajua uzito wa IGA?

Kwamsiojua Intergovernmental Agreement tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni KATIBA YA NCHI.

Kisha Host Gorvanment Agreement au Mikataba ya Utekelezaji, tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni SHERIA ZA NCHI.

Hivyo Intergovernmental Agreement(IGA) inanguvu kuliko Mikataba ya Utekelezaji HGA (Host Gorvanment Agreement).

Tukikosea tukapitisha katiba/Intergovernmental Agreement mbovu, basi tutarajie Mikataba ya Utekelezaji mibovu zaidi, Kwakuwa Mikataba yote itakayosainiwa haitatoka nje ya yale yaliyomo kwenye Intergovernmental Agreement.
Mungu akubariki sana ramani Bora ndio inampa heshima fundi, naakikosea kujenga atalaumiwa fundi kwa kuwa ramani ineonesha aina ya nyumba,endapo ramani utakuwa mbaya basi fundi hana chakufanya ili nyumba uwe nzuri au imara maana yeye atafuata ramani inavyomuelekeza, IGA ni Ramani ya nyumba tunayotaka kujenga n HGA nikama fundi ujenzi hivyo huwezi kusema fundi anakuja kurekebisha, hata vitani ramani ndo huwaongoza wanajeshi kwahiyo mchoraji anaweza kuwaelekeza kwa maadui,,
 
Zitto anasema IGA ni sawa na karatasi ya kufungia vitumbua, je anajua uzito wa IGA?

Kwamsiojua Intergovernmental Agreement tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni KATIBA YA NCHI.

Kisha Host Gorvanment Agreement au Mikataba ya Utekelezaji, tunaweza kuitafsiri kwamfano kwenye NCHI tungeita ni SHERIA ZA NCHI.

Hivyo Intergovernmental Agreement(IGA) inanguvu kuliko Mikataba ya Utekelezaji HGA (Host Gorvanment Agreement).

Tukikosea tukapitisha katiba/Intergovernmental Agreement mbovu, basi tutarajie Mikataba ya Utekelezaji mibovu zaidi, Kwakuwa Mikataba yote itakayosainiwa haitatoka nje ya yale yaliyomo kwenye Intergovernmental Agreement.
Kwa kweli Zitto kachemka. Sijui ni mahaba au naye ni Chawa wa underground. Hivi karata si za kufungiwa vitumbua zinaoekekwa Bungeni.....!!?
 
Content ya IGA ina matter, je kama inasema lazima mikataba husika iwepo kama one of agrement utaachacje ku sign mikataba? Kumbuka kwenye hiyo IGA kuna clouses zinasema "Serikali ya ya Tanzania inawajibika..." e.g kutoa ardhi je hiyo tu garantee siyo mkataba wa kutoa ardhi tayari wakati utoaji wa hati ndiyo hiyo HGA yenyewe kwa mfano?

Hivi manadhani watanzania wa leo ni wajonga?
Inawajibika kutoa haki za matumizi ya ardhi endapo wataingia HGA. Sio kutoa ardhi. Acha upotoshaji. Tena haki za natumizi ya ardhi ni kwa mujibu wa Sheria zetu ambapo mwekezaji anatoa derivative right.

Zitto yuko sahihi. Endapo hakutakuwa na HGA huu mkataba ni sawa na nothing
 
Mungu akubariki sana ramani Bora ndio inampa heshima fundi, naakikosea kujenga atalaumiwa fundi kwa kuwa ramani ineonesha aina ya nyumba,endapo ramani utakuwa mbaya basi fundi hana chakufanya ili nyumba uwe nzuri au imara maana yeye atafuata ramani inavyomuelekeza, IGA ni Ramani ya nyumba tunayotaka kujenga n HGA nikama fundi ujenzi hivyo huwezi kusema fundi anakuja kurekebisha, hata vitani ramani ndo huwaongoza wanajeshi kwahiyo mchoraji anaweza kuwaelekeza kwa maadui,,
Mfano niliowahi kutoa ni wa mtu aliyekuwa anajenga nyumba yake halafu akagundua kwamba msingi una matatizo ya wazi na makubwa( nyufa zimeanza kuonekana). Alipomuuliza fundi kulikoni, fundi akamwambia asiwe na wasiwasi atarekebisha wakati anafunga madirisha au umeme! Huyo fundi kweli ni wa kuaminiwa?

Amandla...
 
Back
Top Bottom