Huyu mdada alipata bwana mpya juzi tu akaanza Kujisifu hapa oooh ni mzee mwenye pesa, ooh hayupo kama kina Haya Land wasio na hela..... nk nk
Leo kaja na jingine Jimbo limechukuliwa, so babu keshaliwa pesa ake hahahaaaa
Bro huyu ukimla atakuletea uzi wako tu hapa😂😄😄😄Kumbe ni masuala ya kijinga kbs😬😬 🚮🚮
Hiki kijembe nisije nikawa napigwa mimiMwambieni mwambieni , Mali yake ishaliwa oh apunguze kampeni Jimbo lishachukuliwa .
KwaniniHiki kijembe nisije nikawa napigwa mimi
Ndo wewe alikuletea thread?Hiki kijembe nisije nikawa napigwa mimi
Mpandie hewani hapa hapa kwa uzi wake, 😂😂View attachment 2467980
Sasa tutamsaidiaje
New year,same mentality.
Tunamuombea apone😄😄😄Kumbe ni masuala ya kijinga kbs😬😬 🚮🚮
Una ugomvi balaa kha!Mwambieni mwambieni , Mali yake ishaliwa oh apunguze kampeni Jimbo lishachukuliwa .
Sisi wenye miaka yetu 63 tuko wachache sana hunu, ndio maana full kujishtukiaNdo wewe alikuletea thread?
Kuna watu wanakaribisha mwaka kwa kuliwa🤣🤣
Sisi wenye miaka yetu 63 tuko wachache sana hunu, ndio maana full kujishtukia
Tusamehe mkuu ni umbali tu.Wanaume wa jf mnalala sana kubabake zenu
Una ugomvi balaa kha!
Miaka yangu 63 hii inanisababishia hofu ya mapenzi kila wakatiKwanini
Tusamehe mkuu ni umbali tu.
Walio karibu nae ndo walaumiwe, sisi wa chitoholi tumenawa.
Akiendelea hivi niko tayari kumfuata kabla hali haijawa mbaya zaidi
Inasikitisha. Labda ata change mizimu itakapo muonea huruma
Ukitaka kuanza Safari nauli juu yangu mkuuTusamehe mkuu ni umbali tu.
Walio karibu nae ndo walaumiwe, sisi wa chitoholi tumenawa.
Akiendelea hivi niko tayari kumfuata kabla hali haijawa mbaya zaidi
Haha yupo resi sana😁Take it easy mrembo. Chochote unachopitia now, kuwa mvumilivu.
Ana shauku ya kuitwa Mrs Ila wanaume wamempa kisongo hivyo hujifariji kwa hizi taarabu.Inasikitisha. Labda ata change mizimu itakapo muonea huruma