Mwambienix2 mali yake ishaliwa

Mwambienix2 mali yake ishaliwa

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Namtaka mm,vichwa vya hivi napenda sana
Malejendari tunajua kabisa hili jimbo liko vere mach availebo, hii ni mikwara tuu ya hapa jukwaani ambayo haimzuii tembo kunywa maji ๐Ÿ˜„
 
Mweeeh
Huyo anaonekana anacharuka balaa๐Ÿ˜…

Nitalipia uchakavu huyu aozwe Chizi Maarifa wanaendana๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Huyu dada dish limeyumba ameachwa na bwana ake mwingine. Ana watoto 3 kila mmoja na baba yake na wamemwachia yeye kila kitu kuhusu watoto. Watu tumejaribu kumbeba beba habebeki. Sasa amechanganyikiwa.
 
Mali nyingine acha ziliwe... Unafurahi kuwa sasa nimepokelewa Mwenzi Mchanga kuna mtu kachukua aendelee nao
 
Aje kwangu tu yeye pamoja na wanae,Aje nimpumzishe angalau apate kale kafeeling.
 
Back
Top Bottom