Bakari ana 28 katimiza juzi tu hapo, yupo kwenye umri mzuri kisoka.Kwenye mpira 30 tu ukifika.tia maji tia maji.
Uzuri mpira ni mchezo wa wazi.hata ukidanganya umri.mbio na kasi vitakuumbua.na ndicho kinachomtokea bakari nondo.Bakari ana 28 katimiza juzi tu hapo, yupo kwenye umri mzuri kisoka.
Hiyo ni miaka ya passport, anyway kama ni umri mzuri kisoka mbona amechoka kama kuli wa mabibo sokoni? tangu afcon imalizike kwa upande wa Tz ni zaidi ya wiki mbili, mechi za ligi nyingi muhimu anawekwa benchi, mim nafikiri ni fair tukisema ameshuka kiwango na ajitafakariBakari ana 28 katimiza juzi tu hapo, yupo kwenye umri mzuri kisoka.
Ameshuka kiwango sana mkuu, wewe mfuatilie kwa umakiniNi mchezo tu umemwendea vibaya leo
Lakini Bakar ni kati ya mabeki bora
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo lako unataka tukubaliane na mtizamo wako finyu na wa kishamba! Hata wajinga nao hufuatilia mpira!Hii tayari nikiashiria cha kuwa wewe hufuatilii mpira, huyo mwamnyeto ameanza mechi chache sana
Finyu na kishamba? Nani kakulazimisha? Low life!Tatizo lako unataka tukubaliane na mtizamo wako finyu na wa kishamba! Hata wajinga nao hufuatilia mpira!
Eti mechi nne halafu tukubaliane na wewe????????
Wewe ni:Finyu na kishamba? Nani kakulazimisha? Low life!
warthog-faced buffoonWewe ni:
zuzu
/zuzu/
mtu asiyetumia akili yake; mtu anayeshindwa kufahamu jambo hata akielezwa.
Kama huna kiwango unapigwa benchi kwa manufaa ya timu ,hayo mambo ya chuki jadili na mpenzi wakoUmetaja mechi nne alizocheza vibaya, je vipi kuhusu mechi nyingine??? Mzani unaelekea wapi?? Wewe mambo yako yote hunyooka?
Nafikiri unasumbuliwa na hiki:
chuki
/t∫uki/
tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya.
Labda kwenye mazoezi yuko vizuri zaidi ila kwenye mechi anapata preshaKila Siku Najiuliza Kwanini Mwamnyeto Anapoteza Kujiamini Katika Nafasi Yake Maana Makocha Wengi Wamamuamini Sana Hadi Timu Ya Taifa Anaaminiwa.
Inabidi Aongee Vizuri Na Dickson Job Kuongezewa Confidence.
Kila La Kheri Dar Young Africans Kwa Ushindi Mwingine Wa 2023/2024
Kibongo miaka 28 unakuta imepunguzwa miaka kama 4Bakari ana 28 katimiza juzi tu hapo, yupo kwenye umri mzuri kisoka.
Umesema makosa ya kipumbavu[emoji3][emoji3] tayari umetukana.Huwa situkani mkuu
Wewe ni:hayo mambo ya chuki jadili na mpenzi wako
Tunaendelea wewe ni:warthog-faced buffoon
Wewe ni mwehu!umeongea kitu cha msingi sanaHuwa situkani mkuu