ukikaidi utapigwa2 JF-Expert Member Joined Feb 24, 2015 Posts 15,265 Reaction score 29,991 Feb 11, 2024 #41 mjingamimi said: Huyo ndo mbeba tunguri baada ya feisal kuchomoa betri Click to expand... Unalitendea haki jina lako
mjingamimi said: Huyo ndo mbeba tunguri baada ya feisal kuchomoa betri Click to expand... Unalitendea haki jina lako
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Feb 11, 2024 #42 Yagangwe yajayo... Cc: Mahondaw
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 Feb 11, 2024 #43 Smart911 said: Yagangwe yajayo... Cc: Mahondaw Click to expand... Mbona yupo vizuri sana!
fimboyaasali JF-Expert Member Joined Jan 14, 2011 Posts 8,617 Reaction score 8,244 Feb 11, 2024 #44 mwehu ndama said: Huwa situkani mkuu Click to expand... umeandika vizuri mno
uhurumoja JF-Expert Member Joined Mar 2, 2014 Posts 9,616 Reaction score 22,521 Feb 11, 2024 #45 enzo1988 said: Umetaja mechi nne alizocheza vibaya, je vipi kuhusu mechi nyingine??? Mzani unaelekea wapi?? Wewe mambo yako yote hunyooka? Nafikiri unasumbuliwa na hiki: chuki /t∫uki/ tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya. https://en.bab.la/dictionary/swahili-english/chuki Click to expand... Binafsi naona we ndie umetawaliwa na chuki mleta mada kaelezea uchezaji wake ambao umekuwa na mapungufu hivi karibuni Huyu sio captain aliewazima kabisa wa Nigeria pale kwao (Rivers) inabidi afanyie kazi mapungufu yake
enzo1988 said: Umetaja mechi nne alizocheza vibaya, je vipi kuhusu mechi nyingine??? Mzani unaelekea wapi?? Wewe mambo yako yote hunyooka? Nafikiri unasumbuliwa na hiki: chuki /t∫uki/ tabia ya kutopenda, hasa watu au ya kuwa na roho mbaya. https://en.bab.la/dictionary/swahili-english/chuki Click to expand... Binafsi naona we ndie umetawaliwa na chuki mleta mada kaelezea uchezaji wake ambao umekuwa na mapungufu hivi karibuni Huyu sio captain aliewazima kabisa wa Nigeria pale kwao (Rivers) inabidi afanyie kazi mapungufu yake