Mwamposa adaiwa kuwatumia Trafiki kufunga Barabara ili awahi safari zake, asababisha Foleni zaidi ya masaa 4

Mwamposa adaiwa kuwatumia Trafiki kufunga Barabara ili awahi safari zake, asababisha Foleni zaidi ya masaa 4

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
Kuna malalamiko kutoka kwa wananchi kwamba Jeshi la Polisi Tanzania kitengo cha Usalama Barabarani wanafunga barabara kwa sababu ya Mwamposa hivyo kusababisha msongamano mkubwa wa magari. Hizi ni barabara za umma, kama mtu ana biashara yake anawahi na muhimu anunue Chopa sio kuleta usumbufu kwa wananchi, Huu mchezo wa kutoa kipaumbele kwa wenye fedha sio sawa.

 
Ailavyuuuuu....... Aailavyuu tuu....... Hii nchi ukijua kucheza karata zako unaishi vizuri
 
Mbona hili dili linapigwa kila siku na wenye hela ya kuwapa hao traffic.
Yaani watu wakawaida mno wana namba za matrafic kila junction, anapiga tu simu, nakuja huko, mara vaap, mmesimamishwa , halafu baada ya muda mnaona gari ya kawaida inapita inawakawaka zile taa za wamachinga....
 
Mbona hili dili linapigwa kila siku na wenye hela ya kuwapa hao traffic.
Yaani watu wakawaida mno wana namba za matrafic kila junction, anapiga tu simu, nakuja huko, mara vaap, mmesimamishwa , halafu baada ya muda mnaona gari ya kawaida inapita inawakawaka zile taa za wamachinga....

Eti taa za wamachinga
 
Back
Top Bottom