Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.

Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.

View attachment 2463457

Source: Clouds Media
Fadhila?! Kulala hotel hiyo ni bure? Hawa jamaa hufanya biashara za madawa kwa mgongo wa kanisa, wakiulizwa pesa umepata wapi wanakwambia ni sadaka, na sadaka haitangazwi wala kulipiwa kodi, utakatishaji mkubwa wa pesa.
 
Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Utakatishaji wa pesa haramu. Hakuna sadaka ya nsmna hiyo aliyokusanya.
 
Hana haja ya kununua maji kiwandani ajenge kiwanda chake cha maji, chumvi, mafuta mbona market anayo ya kutosha tayari
 
Huyu anajua kucheza na wakati anajua atachuja anawashauri wazuri sana hongera yake sana Mungu akupe miaka mingi...
 
Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Kweli utajiri unahitaj vyanzo ving vya mapato

Sent from my 220333QAG using JamiiForums mobile app
 
Kakobe yeye anaishi zake Canada
Nyie huku endeleeni kumkusanyia
Sadaka [emoji1]

Ova
 
H
Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.

Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.

View attachment 2463457

Source: Clouds Media
Hela kapata wapi?wakati hafanyi biashara?
 
Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.

Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.

View attachment 2463457

Source: Clouds Media
Kuna keki ya upako hapo hotelini?
 
Nijuze kuhusu mtaji unaotakiwa kufungua kanisa! Najua kitu cha kwanza ni kuwa na maneno mazuri ya kuvutia ili kuwapumbaza watu.
 
Back
Top Bottom