saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
Avunie Dar ajenge Mbeya! Watanzania wengi wapumbavu sana wanashindwaje kung'amua kwamba ni matapeli wanatafuta pesa kwa uwizi wa wazi kabisa. Halafu kwanini wanyakyusa ndiyo ndio wanaojipatia pesa kwa njia hii? Watu hawastuki, huyo ni Mungu wa kabila la wanyakyusa? Nchi hii mapoyoyo yataisha lini?Kurudisha fadhila kwa jamii, watu watakua wanalala bure au kufanya matukio yao bure?