Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Mwamposa ajenga hotel ya kisasa jijini Mbeya

Kurudisha fadhila kwa jamii, watu watakua wanalala bure au kufanya matukio yao bure?
Avunie Dar ajenge Mbeya! Watanzania wengi wapumbavu sana wanashindwaje kung'amua kwamba ni matapeli wanatafuta pesa kwa uwizi wa wazi kabisa. Halafu kwanini wanyakyusa ndiyo ndio wanaojipatia pesa kwa njia hii? Watu hawastuki, huyo ni Mungu wa kabila la wanyakyusa? Nchi hii mapoyoyo yataisha lini?
 
Watz ni watu wa ajabu
Mlitaka afe masikini?
MUNGU wetu si masikini, Mtu kuwekeza imekuwa nongwa?
Mbona hata makanisa mengine Roman, KKKT, Moravian nk wamewekeza kwenye shule, hospital na miradi mingine mingi.



Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Hiyo MIRADI Makusanyo yanaingia kwenye Taasisi... Sasa huyu ndugu yetu na akaunti zenye majina yake je? Halafu alivyo mjanja yeye anaendesha HUDUMA tu na si KANISA linalohitaji kuwa na watu wengine Ili liandikishwe...
 
Hiyo MIRADI Makusanyo yanaingia kwenye Taasisi... Sasa huyu ndugu yetu na akaunti zenye majina yake je? Halafu alivyo mjanja yeye anaendesha HUDUMA tu na si KANISA linalohitaji kuwa na watu wengine Ili liandikishwe...

Isingekuwa huduma kwa uchu watu walionao kwa pesa isingekuwepo
 
Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Akili ndugu yangu. Ana akili za kutaoeli. Acha apige pesa
 
Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Sidhani kama kuna tatizo yeye kumilki vitu hivyo. Kwenye injili tunasoma mtume Paulo alikuwa akishona mahema enzi hizo. Labda leo tungesema alimilki kiwanda cha maturubai na mahema. Kudos Bulldozer😎
 
Yeye anajenga miradi ya pesa
Waumini mnaambiwa myaache ya dunia muweke akiba mbinguni maana hamjui siku wala saa 😄
 
Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
🤣🤣
 
Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.

Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.

View attachment 2463457

Source: Clouds Media
NJOO MBEZ BEACH UONEE KASSRI LA BISHOP WA MWENGE
KAA A PASSWD
 
Back
Top Bottom