FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Fadhila?! Kulala hotel hiyo ni bure? Hawa jamaa hufanya biashara za madawa kwa mgongo wa kanisa, wakiulizwa pesa umepata wapi wanakwambia ni sadaka, na sadaka haitangazwi wala kulipiwa kodi, utakatishaji mkubwa wa pesa.Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
Utakatishaji wa pesa haramu.Inaprove kwamba dini ni biashara.
Utakatishaji wa pesa haramu. Hakuna sadaka ya nsmna hiyo aliyokusanya.Nakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Hakuna muumini anaetoa sadaka yeyote ya maana, hilo kanisa ni mashine tu ya kufulia na kutakatisha pesa za walamba asali naye anapewa comission yake.Endeleeni kumpea pesa,wajinga ndio waliwao,
Maandalizi ya uchaguzi maeneo yakufikia ccm hayo 2025Pombe zitauzwa humo au
Zote hizo hata uislamu,kwani ww ni muarabu?sema ukiristo.usiziingize dini nyingine hapo.
Kweli utajiri unahitaj vyanzo ving vya mapatoNakuongezea na mengine wakati Waumini wake Umasikini ukizidi Kuwaandama Kununua Nyumba ya Rubani wa zamani wa Hayati Mwalimu Nyerere Kawe Beach Avocado jirani na Hotel ya Triple Seven kwa Tsh Bilioni 2, Kanunua Uwanja mkubwa Mbezi Beach Tangi Bovu ( New Corner Bar ) njia ya zamani ya kwenda Goba ambako huenda mwakani ( 2023 ) Mwezi April Kanisa lake likahamia huko kwa Tsh Bilioni 3, amejenga Kiwanda cha Chumvi huko Pwani Rufiji na pia ana Shamba Kubwa la Miwa huko Bagamoyo achilia mbali lile Kubwa la Korosho Mkoani Mtwara.
Kwa kushabikia weupe hodari sana kwa kuwa wanakupa raha fala weweHotel ni huyo mtu mweupe,mwamposa ana share kidogo
Hapana, labda nikusahihishe kidogo. Usiseme dini ni biashara, sema "mazingaombwe kwa jina la YESU ni biashara kubwa.Inaprove kwamba dini ni biashara.
Hela kapata wapi?wakati hafanyi biashara?Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
Kuna keki ya upako hapo hotelini?Mtume Boniface Mwamposa wa kanisa la Arise and Shine lililopo kawe Jijini Dar es Salaam amejenga hotel ya kisasa jijini Mbeya ambayo imezinduliwa leo hii na Spika wa Bunge la Jamhuri ya mmMuungano wa Tanzania Dr.Tulia Ackson.
Mtume Mwamposa amejenga hotel hiyo ili kurudisha fadhila kwa jamii aliyokulia.
View attachment 2463457
Source: Clouds Media
Hata yeye muhubiri hajui kesho wala saaYeye anajenga miradi ya pesa
Waumini mnaambiwa myaache ya dunia muweke akiba mbinguni maana hamjui siku wala saa 😄