Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Mtume alimfanyia muujiza akaokota msokoto ya f5 barabarani
Hahaha yaan n ujnga kbsa et katoa pesa zote kwa mtume kakomba akaunt zote bank m-pesa sjui nn haf naul [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] alaf wkt anarud nyumban akaokota naul elfu 5 ...THEN WHAT? [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]


MF wa kijingaaa sn ww kibaraka wa Mwamposa ebu lete andiko jngne lkn sio hlo. andiko lako la Wizi tumewashtukia


Au niseme wajinga ndio waliwao.

Zakuambiwa changanya na zako
 
Huu ni uongo, ebu sema Mwamposa kayasema haya lini maana mahubiri yake yapo YouTube na social media nyingine.
Kama waumuni wangetoa kila kitu wasingeweza kurudi hapo kanisani kutoa tena.
Huyu mtume anajadiliwa sana nikaamua nijue ukweli wa yanayosemwa kupitia Mwamposa live.
Jumapili Jumatatu Jumanne na makongamano ya mikoani.
Nikajiridhisha kwamba yanayosemwa si kweli.
Maji yanayouzwa 1000 hata kilimanjaro anauza 1000, mafuta anauza 1000, udongo hauzi, keki hauzi.
Sadaka haiti watu majina wanaenda wenyewe kila siku na hawalalamiki.
Kuna wengine wametoa mamilioni kwa waganga wa kienyeji hakuna anayelalamika kuhusu waganga kuchukua hela kwa watu.
Ni wakati wake ukiamini nenda kwa Mwamposa au mganga wa kienyeji..
 
Wakristo mnapigwa hadi huruma kwakweli!
 
Mtu akitoa sadaka hivyo, ni haki yake ya kikatiba.

Ni haki yake ya kikatiba kuamua kuwa masikini pia.
 
Jana nimetazama filamu ya kimarekani inaitwa Message and the Messenger(2022) aisee..inaonyesha namna gani hawa viongozi wa hizi taasisi za kidini wanavyowaibia waumini wao.
Hii filamu imetokana na matukio ya halisi yaliyowahi kutokea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…