Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Mwamposa ajitetea kuwakamua waumini 'sadaka ya kujimaliza', atoa ufafanuzi mujarabu

Wakristo mnapigwa hadi huruma kwakweli!
Hakuna mkristo anayepigwa. Yesu aliweka wazi hapa[emoji116]

"Basi Yesu akawaambia tena akisema Mimi ndimi Nuru ya ulimwengu,yeye anifuataye hatakwenda gizani kamwe bali atakuwa na Nuru ya Uzima"
(Yohana 8:12)

Wewe bado hujabahatika kukutana na Wakristo. Siku ukikutana nae angalau mmoja tu,utafuta ulichokiandika hapo!
 
Huu ni uongo, ebu sema Mwamposa kayasema haya lini maana mahubiri yake yapo YouTube na social media nyingine.
Kama waumuni wangetoa kila kitu wasingeweza kurudi hapo kanisani kutoa tena.
Huyu mtume anajadiliwa sana nikaamua nijue ukweli wa yanayosemwa kupitia Mwamposa live.
Jumapili Jumatatu Jumanne na makongamano ya mikoani.
Nikajiridhisha kwamba yanayosemwa si kweli.
Maji yanayouzwa 1000 hata kilimanjaro anauza 1000, mafuta anauza 1000, udongo hauzi, keki hauzi.
Sadaka haiti watu majina wanaenda wenyewe kila siku na hawalalamiki.
Kuna wengine wametoa mamilioni kwa waganga wa kienyeji hakuna anayelalamika kuhusu waganga kuchukua hela kwa watu.
Ni wakati wake ukiamini nenda kwa Mwamposa au mganga wa kienyeji..
Usihangaike na watu waongo. Hakuna ushahidi wowote aliouweka.
 
Jana nimetazama filamu ya kimarekani inaitwa Message and the Messenger(2022) aisee..inaonyesha namna gani hawa viongozi wa hizi taasisi za kidini wanavyowaibia waumini wao.
Hii filamu imetokana na matukio ya halisi yaliyowahi kutokea.
Naipataje mkuu?[emoji120]
 
Huu ni uongo, ebu sema Mwamposa kayasema haya lini maana mahubiri yake yapo YouTube na social media nyingine.
Kama waumuni wangetoa kila kitu wasingeweza kurudi hapo kanisani kutoa tena.
Huyu mtume anajadiliwa sana nikaamua nijue ukweli wa yanayosemwa kupitia Mwamposa live.
Jumapili Jumatatu Jumanne na makongamano ya mikoani.
Nikajiridhisha kwamba yanayosemwa si kweli.
Maji yanayouzwa 1000 hata kilimanjaro anauza 1000, mafuta anauza 1000, udongo hauzi, keki hauzi.
Sadaka haiti watu majina wanaenda wenyewe kila siku na hawalalamiki.
Kuna wengine wametoa mamilioni kwa waganga wa kienyeji hakuna anayelalamika kuhusu waganga kuchukua hela kwa watu.
Ni wakati wake ukiamini nenda kwa Mwamposa au mganga wa kienyeji..
Mganga anafanya biashara hatumii nguvu za mungu anatumia nguvu za kibinadamu haina tofauti na kuenda kwa daktari tu, kwahiyo kama wachungaji nao wanafanya biashara na wanatumia nguvu za kibinadamu waseme mapema ili tuwaweke kwenye kundi moja na waganga, watu wanapoenda huko kwa mungu wanategemea miujiza tu sababu wanaamini mungu hahitaji pesa
 
Mambo ya kiimani ni mapana sana na yana siri ambazo wapo wanaozijua na wapo wasiozijua huwa sipendi kuhoji sana watumishi wanaonda mienendo tofauti nachofanya nikutafuta napopaamini, na kumuomba Mungu pia kunionyesha kweli, tusinyoshee vidole watumishi hata kama wapo katika njia potosha wewe hama kanisa basi mtafute Mungu wa kweli alipo na ukimtafuta utampata
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Nsamini sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza.

Nawasilisha.

Pia soma > Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini
M...snge huyo Mwamposa
 
Huu ni uongo, ebu sema Mwamposa kayasema haya lini maana mahubiri yake yapo YouTube na social media nyingine.
Kama waumuni wangetoa kila kitu wasingeweza kurudi hapo kanisani kutoa tena.
Huyu mtume anajadiliwa sana nikaamua nijue ukweli wa yanayosemwa kupitia Mwamposa live.
Jumapili Jumatatu Jumanne na makongamano ya mikoani.
Nikajiridhisha kwamba yanayosemwa si kweli.
Maji yanayouzwa 1000 hata kilimanjaro anauza 1000, mafuta anauza 1000, udongo hauzi, keki hauzi.
Sadaka haiti watu majina wanaenda wenyewe kila siku na hawalalamiki.
Kuna wengine wametoa mamilioni kwa waganga wa kienyeji hakuna anayelalamika kuhusu waganga kuchukua hela kwa watu.
Ni wakati wake ukiamini nenda kwa Mwamposa au mganga wa kienyeji..
Mganga sio mtumishi wa bwana ila Mwamposa ni mtumishi wa mungu pindi anapofanya cha tofauti lazima tujiulize Mara mbili mbili usi mfananishe Mtume mwamposa na mganga
 
Kuna mtumishi moja alituita mbele, eti ooh hamtoi 10% hamtoi vizuri ndiyo maana maisha yenu hayabadiliki. Ghafla kasema Ili uondoke hapa toa zote!!! Nikaondoka zangu mie. Haya matapeli haya.
 
Heeeeeeee!

Kwahiyo sasa sio hizi buku buku tunazoenda nazo Church ila anataka akiba za banki zote jamani
Hiyo ndio maana halisi ya KUJIMALIZA mkuu. Sio watu wanatoa laki yote waliyoenda nayo kanisani halafu wanakuja hapa kulalamika wakati hata robo ya pesa waliyonayo benki haikafika.

Wananchi wengi walikuwa hawajui hili jambo. Sasa baada ya ufafanuzi kutolewa kila kitu kiko wazi.
 
Huu ni uongo, ebu sema Mwamposa kayasema haya lini maana mahubiri yake yapo YouTube na social media nyingine.
Kama waumuni wangetoa kila kitu wasingeweza kurudi hapo kanisani kutoa tena.
Huyu mtume anajadiliwa sana nikaamua nijue ukweli wa yanayosemwa kupitia Mwamposa live.
Jumapili Jumatatu Jumanne na makongamano ya mikoani.
Nikajiridhisha kwamba yanayosemwa si kweli.
Maji yanayouzwa 1000 hata kilimanjaro anauza 1000, mafuta anauza 1000, udongo hauzi, keki hauzi.
Sadaka haiti watu majina wanaenda wenyewe kila siku na hawalalamiki.
Kuna wengine wametoa mamilioni kwa waganga wa kienyeji hakuna anayelalamika kuhusu waganga kuchukua hela kwa watu.
Ni wakati wake ukiamini nenda kwa Mwamposa au mganga wa kienyeji..
Sasa ndio unalazimisha watu wafilisiwe pesa zao bila kufuata utaratibu? Biblia inasema watu tumtolee Mungu sadaka ya 10% halafu wewe kibaraka wa Mwamposa unataka watu wakombe pesa zao zote wampelekee Mwamposa kwa kifungu kipi cha biblia?

Usitetee ujinga mkuu. Kama unaenda kujimaliza nenda kajimalize mwenyewe usitulazimishe, ebo!
 
Ila waumini ni wajinga kweli kweli

Yaani hilo SADAKA YA KUJIMALIZA ndo kusema waumini hawalielewi kabisa au ni kujizima data tu?

Mwamposa kamatilia hapo hapo usilegeze mtume
 
Mtu akitoa sadaka hivyo, ni haki yake ya kikatiba.

Ni haki yake ya kikatiba kuamua kuwa masikini pia.
Mkuu kiranga,

Mungu mwenye nguvu zote aliyeweza kushusha malaika wakaua kambi nzima, mungu aliyekuwa anawashushia wana waisrael chakula anashindwa vipi kumshushia huyu bwana anayesema watu wakombe pesa zao?

Kwanini huyo mungu asubiri pesa za watu na akijinadi yeye vitu vyote ni mali yake?
🤣
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuwachosha. Mtume Boneface Mwamposa (Bulldozer) amefafanua kwa ufasaha maana ya "sadaka ya kujimaliza" inayotolewa na waumini wa kanisa lake baada ya kupokea shutuma mbalimbali kutoka kwa wananchi kwamba amekuwa akiwakamua waumini hela zote hadi wanakosa nauli ya kurudia majumbani kwao.

Ufafanuzi uliotoka ni kwamba kutoa sadaka ya kujimaliza sio kutoa fedha zote ambazo mtu amekwenda nazo kanisani. La hasha! Maana ya sadaka ya kujimaliza ni kutoa fedha zako zote ulizonazo benki na kuziwasilisha kwa mtume kama sadaka. Kwa mfano, kama una akaunti 5 kwenye benki tofauti, komba pesa zote zilizomo kwenye akaunti hizo umtolee Mungu wako. Hii ndio maana halisi ya sadaka ya kujimaliza. Yaani unajimaliza kabisa na kuanza upya!

Mtume amesema hayo zikiwa zimesalia siku chache kabla ya mkesha wa mwaka mpya unaoenda kwa kaulimbiu ya "vuka na chako" utakaofanyika kanisani kwake katika viwanja vya Tanganyika Packers, Kawe jijini Dar es Salaam.

MAONI YANGU
Binafsi nimewahi kusimuliwa na muumini mmoja aliyetoa sadaka fedha zote alizokuwa nazo hadi nauli lakini wakati anaondoka kwa miguu kuelekea kwake Gongolamboto akitokea Kawe, mtume akamfanyia muujiza akaokota noti ya Tsh 5000 akaitumia kama nauli, yeye na wanawe wawili aliokuwa ameandamana nao.

Nsamini sasa ufafanuzi umewekwa wazi kwani waumini na wananchi walikuwa hasa hawafahamu maana ya sadaka ya kujimaliza.

Nawasilisha.

Pia soma > Sadaka ya kujimaliza ya kwa Mwamposa inatia watu umasikini


Matapeli wakubwa, watakufa vibaya sana hawa wezi na majambazi yanayotumia jina La Mungu kwa uovu.
 
Back
Top Bottom