Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapana, mimi nataka win win situation, anaombea mikeka ikitiki yote, namkatia 5%Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
ALAFU kuna jamaa walikua wanakutafuta mkuuFika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
Tumia silaha za kiroho kama mafuta, maji, chumvi na mchangaHapana, mimi nataka win win situation, anaombea mikeka ikitiki yote, namkatia 5%
😀😅😀ALAFU kuna jamaa walikua wanakutafuta mkuu
Wewe bado hawajakukamata kwaniWanasemaje?
Mwanawaneee huna demu wa akiba hapo..Aloo hizi dini zimekuwa shida sana hapa bongo.
Serikali inabidi iingilie kati.. inafanya watanzania kuwa wavivu wakufikiri. Alafu kwa uvivu huu wa kutumia akili kweli bado watz mnajipa matumaini ya kwenda mbinguni 🤣🤣🤣🤣🤣
Shenz type watz wote motoni hamna akili msije mkanajis mbingu bure
Sawa mkuu tawaambia haina shida....😀😅😀
Nipo wani tag tu
Nikupe namba utume sadaka ya kujimalizaWewe ndio dalali wa mwamposa?
Wewe watakupiga sasaNikupe namba utume sadaka ya kujimaliza
Kesho upate muujiza wa kushinda jackpot ya million 400
Ah mze wa mamtoni....mambo vipi? Ah wee mademu wa bongo kwa huu mwezi usiwaguse kabisa utafirisika.Mwanawaneee huna demu wa akiba hapo..
Hahaha.....utamlipa sh ngapi?Kuna mikeka nimesuka mitatu ikitiki tu hiyo baasi. Wale mashabiki wa mwamposa hivi huyu bwana anaweza kuiombea kwa makubaliano kuwa ikitiki nitamlipa 5%?
Hahaha aende na mkeka kama ambavyo wengine wanaenda na matatizo yaoNdiyo uende huko kwenye mkesha na mkeka wako 😄 akakutengeneze mazingira
Ova