Mwamposa anauwezo wa kuombea mikeka yangu ikatiki?

Mwamposa anauwezo wa kuombea mikeka yangu ikatiki?

Aloo hizi dini zimekuwa shida sana hapa bongo.
Serikali inabidi iingilie kati.. inafanya watanzania kuwa wavivu wakufikiri. Alafu kwa uvivu huu wa kutumia akili kweli bado watz mnajipa matumaini ya kwenda mbinguni 🤣🤣🤣🤣🤣

Shenz type watz wote motoni hamna akili msije mkanajis mbingu bure
 
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
 
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
Hapana, mimi nataka win win situation, anaombea mikeka ikitiki yote, namkatia 5%
 
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
ALAFU kuna jamaa walikua wanakutafuta mkuu
 
Aloo hizi dini zimekuwa shida sana hapa bongo.
Serikali inabidi iingilie kati.. inafanya watanzania kuwa wavivu wakufikiri. Alafu kwa uvivu huu wa kutumia akili kweli bado watz mnajipa matumaini ya kwenda mbinguni 🤣🤣🤣🤣🤣

Shenz type watz wote motoni hamna akili msije mkanajis mbingu bure
Mwanawaneee huna demu wa akiba hapo..
 
Back
Top Bottom