Mwamposa anauwezo wa kuombea mikeka yangu ikatiki?

Mwamposa anauwezo wa kuombea mikeka yangu ikatiki?

Aloo hizi dini zimekuwa shida sana hapa bongo.
Serikali inabidi iingilie kati.. inafanya watanzania kuwa wavivu wakufikiri. Alafu kwa uvivu huu wa kutumia akili kweli bado watz mnajipa matumaini ya kwenda mbinguni 🤣🤣🤣🤣🤣

Shenz type watz wote motoni hamna akili msije mkanajis mbingu bure
Hahaha
 
Ah mze wa mamtoni....mambo vipi? Ah wee mademu wa bongo kwa huu mwezi usiwaguse kabisa utafirisika.

Vipi huko mamtoni, ladies wa kiblack america nao wanapiga vibomu mwezi wa dcember ?
😅 Mademu hawana tofauti.. kuanzia mwezi wa kumi na moja, huwa tunaanzisha migogoro isiyo na solution, hadi unapo Isha mwezi wa pili , ndio tunarudiana.. tunahakikisha November Hadi February hakuna amani kwenye mahusiano.. hata kuomba mia anaogopa
 
😅 Mademu hawana tofauti.. kuanzia mwezi wa kumi na moja, huwa tunaanzisha migogoro isiyo na solution, hadi unapo Isha mwezi wa pili , ndio tunarudiana.. tunahakikisha November Hadi February hakuna amani kwenye mahusiano.. hata kuomba mia anaogopa
🤣🤣🤣🤣 Sasa mbunye mnapewa lakini au hiyo ndio miezi ya kukumbuka mlenda vugivugu
 
Anaweza ndio.Maombi kwa kila mechi ni milioni moja.Mkeka wako kama una mechi tano unatoa sadaka ya maombi milioni tano.

Ikitokea mikeka ikachanika maana yake mechi imechezwa kabla maombi hayajafika mbinguni.
 
🤣🤣🤣🤣 Sasa mbunye mnapewa lakini au hiyo ndio miezi ya kukumbuka mlenda vugivugu
😅😅 Kula mbunye siku hizi ni kama kupumua tu ( tunapumua Bure ujue ).. huitaji kutoa hela kula.. sema tunawapa hela kama motisha tu.. kadri siku zinavyo enda tujianda kubakwa au kumla manzi nae anakupa hela
 
Mungu anataka ukafanye kazi. Kama Mwamposa akiiombea mikeka yako ikatiki basi jua anaushirika na shetani, na wewe utalipia gharama ya utakachopewa na shetani.
 
Fika Kwa Mtume chukua mafuta na maji ya upako
Kabla ya kubet kunywa nusu glass ya maji
Chukua kalamu utakayochorea mkeka paka mafuta ya upako
Paka kidogo kwenye uso na nyao
Usisahau kutoa sadaka ya kujimaliza
Utaona muujiza wako
KANJI harogeki KANJI hadanganyiki🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom