Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani wewe😬Waendesha mikesha wakae pamoja na serikali waangalie wanatatua vipi ukosefu wa ajira
We hutaki tumalize tatizo la ajira nchini🤣Jamani wewe😬
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Huyo Malisa nahisi anaingiaga kanisani akiwa amestua kidogo maana yupo high muda wote
Hadi anacheua
Wahusika inabidi wakazane kuomba,. Waongeze bidii😂😂😂We hutaki tumalize tatizo la ajira nchini🤣
Tapeli anacheua madhabahuni na nyie hamshutuki tu😄Huyo Malisa nahisi anaingiaga kanisani akiwa amestua kidogo maana yupo high muda wote
Hadi anacheua
CHance za ajira chache, waelekee kwenye vyanzo vya ajira zimwagike kama mvuaWahusika inabidi wakazane kuomba,. Waongeze bidii😂😂😂
Kama tumelingana mawazo vileHuyo Malisa nahisi anaingiaga kanisani akiwa amestua kidogo maana yupo high muda wote
Hadi anacheua
Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typAMBASSADORS OF HEAVEN??????!!!!!! What the fuk is this????!!! kuna watu sijui vichwani mwenu huwa mmejaza kinyesi, mwenzenu anajenga mahoteli nyie mmeng'ang'ania mambo ya heaven, shenz taip
Haya tumesikia Weka kapu tutoe swadakaa sasaAmani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.