Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Ulizunguka hospitali kwa muda gani mkuu
Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
 
Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
Poa mkuu
 
Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
😀 😀 😀 huyo jamaa anaponya kansa ya koo???!!! hii ni miujiza yesu mwenyewe hakuwahi kuponya mtu kansa, huyu jamaa atakuwa na fungua za mbinguni asee. Shenzi sanaa
 
Kwanini sasa asiende kutembelea wenye shida badala yake anataka wenye shida wamfuate ili awaponye???????!!!!! kwanini huyu tapeli asiingie hata hapo Muhimbili atende miujiza????!!!!
Hadi uwe na Imani, kitendo cha kwenda Kawe kanisani kwake maana yake unaamini utapona lakini si yeye kutembelea wagonjwa hospitalini kwa sababu sio wote wanaoamini.
 
Back
Top Bottom