Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Dunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?
Muhimbili watu hawaeñdi kumwabudu Mungu wanaenda kutibiwa. Ukitaka uponyaji wa Mungu unaenda kwa Mwamposa.
Hata waganga wa kienyeji wapo ila hujawahi pendekeza nao waende muhimbili wakaponye watu maana nao wanatibu kwa mazingaombwe na watu hujaa huko kutsfuta tiba.
Kondoo nyingine hii, mwamposa endelea kutandika hizi kondoo mpaka akili ziwakae sawa
 
Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
Ona hii taka taka aisee.
 
Dunia hii wenye shida unajua idadi yao na wako wapi hadi Mwamposa akawatembelee?
Muhimbili watu hawaeñdi kumwabudu Mungu wanaenda kutibiwa. Ukitaka uponyaji wa Mungu unaenda kwa Mwamposa.
Hata waganga wa kienyeji wapo ila hujawahi pendekeza nao waende muhimbili wakaponye watu maana nao wanatibu kwa mazingaombwe na watu hujaa huko kutsfuta tiba.
Hii ni nyumbu nyingine..
 
Tapeli Mwamposa international TP binadam wa kwanza kukutapeli huku unasema Ameen
 
Acheni kumfananisha TB Joshua na hawa vibaka jamani.mnamkosea.

Hao hapo walipo hawapatani.ka hamjui poleni
 
Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
We muongo tunajua watu kama nyie huwa mnatengezwa kwa kulipwa ili mtoe shuhuda za uongo ili kuaminisha watu kuwa wayafanyayo hao the so called fu**ing nabii ni ya kweli
 
Miaka miwili nkitoka hospital hii naenda ile. Waganga wa kienyej kwa sana lkn hola. Hadi nlipoamua kuhudhuria ibada hapo kawe. Jion flan hv tulivu mwamba alik8wa anaombea mmoja mmoja. Alvonishika kichwa akatulia kdg thn kanishika kifua akasepa. Nkahisi kutapika, nikatapika damu ya kutosha. Siku 2 mbele nikaanza na kuongea bila shida nikala kama kawaida had leo cnaga hzo mambo za mateso tena
Nkitoka❌
Nikitoka☑️
Hospital❌
Hospitali☑️
Kienyej❌
Kienyeji☑️
Jion❌
Jioni☑️
Hv❌
Hivi☑️
Fln❌
Fulani☑️
Alvyonishika❌
Alivyonishika☑️
Kdg❌
Kidogo☑️
Thn❌
Then☑️
Nkahisi❌
Nikahisi☑️,,Mwanakondoo Jitahidi Usiwe Unamuaibisha Mchungaji Wako.Hongera Kwa Kuondokewa Na Mateso Ya Kansa.
 
Hapana nipo nyumbn mapenzi yanataka kuniuwa......

Nishasema ntajiombea tuu yaishe kuhangaika hizo sehemu aseeh nimeenda sana kwa sasa nipo na Mungu tuu
Umefanya vyema, kule kuna vishawishi vingi vinavyoweza kutoa kwenye reli.
 
Back
Top Bottom