Mwamposa apelekwe Ocean Road awaombee wagonjwa, Gwajima apelekwe Makaburi ya Kinondoni afufue wafu

Mwamposa apelekwe Ocean Road awaombee wagonjwa, Gwajima apelekwe Makaburi ya Kinondoni afufue wafu

Vichekesho

Member
Joined
Jun 20, 2024
Posts
66
Reaction score
3,277
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya Kinondoni akishindwa kufufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya kinondoni akishindwa kifufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
Tapeli tuu hawezi lolote
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya kinondoni akishindwa kifufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
Kichekesho hiki!

Sent from my SM-G970U using JamiiForums mobile app
 
Wale wana imani kwamba Mwamposa hata waponya hao walioenda hospital wana imani wataponea huko kupona inaanza imani.

Hata Yesu ili upone alihitaji imani yako kwanza.
 
Wale wana imani kwamba mwamposa hata waponya hao walioenda hospital wana imani wataponea huko kupona inaanza imani.

Hata Yesu ili upone alihitaji imani yako kwanza.
Unajua maana ya Imani?
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya kinondoni akishindwa kifufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
Anayeponya ni Yesu, Mwamposa ni chombo tu. Yesu asipokuponya huponi
 
Anayeponya ni Yesu, Mwamposa ni chombo tu. Yesu asipokuponya huponi
Sahihi.

Mwamposya anatumiwa sana na Mungu sababu Hana majivuno ya kidini kuwa kadini kangu kazuri Wala haisemi vibaya dini ya Mtu Wala kiongozi mwingine wa dini yeyote au wa serikali na muda mwingi huutumia Kwa maombi na kuhufumia wenye shida Sio kushinda vikao vya kidini au kukaa Bure bila Cha kufanya akisubiri siku ya ibada

Muda mwingi anakuwa na muda na Mungu sio binadamu
 
Mwamposya anatumiwa sana na Mungu sababu Hana majivuno ya kidini kuwa kadini kangu kazuri Wala haisemi vibaya dini ya Mtu Wala kiongozi mwingine wa dini yeyote au wa serikali na muda mwingi huutumia Kwa maombi na kuhufumia wenye shida Sio kushinda vikao vya kidini au kukaa Bure bila Cha kufanya akisubiri siku ya ibada

Muda mwingi anakuwa na muda na Mungu sio binadamu
Hana Dini lini umemsikia yeye ni wa Dini fulani?
 
Screenshot_20240706-125511.png
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya Kinondoni akishindwa kufufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
Mhuuuu Kuna mtu katapeliwa?
 
Kumlalamikia mwamposa peke yake sio sawa.

Dini zote ni utapeli. Zinaibia watu

Katoliki wanatapeli watu

KKKT wanatapeli watu

Uislamu unatapeli watu

Yesu, Mtume Muhammad, Mungu , Allah wote ni fictional character wa kutungwa. Hawapo na wala hawajawai kuwepo
 
Wale wana imani kwamba Mwamposa hata waponya hao walioenda hospital wana imani wataponea huko kupona inaanza imani.

Hata Yesu ili upone alihitaji imani yako kwanza.
Kwahiyo kinachoponya ni Imani na sio mtu Kuna haja gani ya kuelekeza Imani yako kwa mtu ikiwa hana impact yoyote katika uponyaji?
 
Back
Top Bottom