Mwamposa apelekwe Ocean Road awaombee wagonjwa, Gwajima apelekwe Makaburi ya Kinondoni afufue wafu

Mwamposa apelekwe Ocean Road awaombee wagonjwa, Gwajima apelekwe Makaburi ya Kinondoni afufue wafu

Na wewe jaribu uone kama watu wanatapelika kirahisi

Raha ya Ngoma ingia ucheze ndio utajua kama ni Rahisi kutapeli watu au la

Anzisha na wewe kituo chako Cha utapeli upige Hela kama unadhani ni rahisi
Utapeli pia ni kipaji,ila wengine pia wana dawa ya kuwapumbaza watu.
Ndio maana wale misukule wanaopeleka hela kila siku ukitaka kuwashtua waamke wasiendelee kupeleka hela wanakuwa wakali na wanakuona wewe ndio mchawi
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya Kinondoni akishindwa kufufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
Ni kama kuona kinyonga amebadilika kuwa rangi nyekundu au bluu.
 
Mwamposa akishindwa kuwaponya basi tumwone tapeli kama matapeli wengine.

Gwajima apelekwe makaburi ya Kinondoni akishindwa kufufua wafu aporwe hadi ubunge maana atakuwa tapeli.

Tusiandikie mate wakati wino upo, tuna hospitali na makaburi lukuki wakafanye uponyaji na ufufuo huko waache kucheza na akili finyu za watu.
We we unashindwa mini kuombea wat u🙄🙄🙄 muacheni mwamposa,MB on a mashehe wako hawajawahi kufanya hayo??!! Mimi sisali kwa mwamposa ila ukweli usemwe
 
Back
Top Bottom