Mwamposa asingekuwa nabii wa Mungu, angeporomoka kabisa baada ya watu 20 kuuawa kwa kukanyagwa kanisani kwake

hujui ulichoandika
 
Muulize,we si ndio chawa mkuu. Nabii akakimbia eneo la tukio usiku usiku bila aibu yani badala abaki kusaidia waumini wake. Bado wewe siku akikukimbia utaelewa
Alikimbilia wapi?
 
Nipe kifungu kutoka kwenye Biblia kinachosema ni marufuku watu kufa kwenye nyumba ya BWANA.
 
Nipe kifungu kutoka kwenye Biblia kinachosema ni marufuku watu kufa kwenye nyumba ya BWANA.
Biblia katika waefeso inesema kuwa tumejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii.
Na Mtume mkuu Paul ndio kielelezo kikuu ambaye katika Injili aliyoihibiri alimfufua aliyekufa kwenye mhadhara wake.

Halafu rejea na Matendo 20: 9-11
Siku utakapokubali akili yako ijawe nuru ya Kristo utakombolewa nafsi, yako, mwili wako na roho yako
 
Unaowaita wapinga kristo wanasoma biblia kuliko wewe juha unayetetea ugali.Jihadhari na manabii wa uongo ingawa wananguvu.
 

Mimi nilidhani angehaurisha mkutano kutokana na ajali iliyotokea bukoba.
 
Yesu alichanganya mate na udongo akamponya kipofu

Acheni dharau ya kumlinganisha Mwamposa na Yesu Kristo. Mkiambiwa ukweli mnakimbilia kujificha kwa Yesu Kristo. Tofautisha mafundisho na mafunuo. Yesu alitumia udongo na mate Mara moja tu, ila nabii wako Mwamposa anatumia mafuta na maji kila siku.
 
Nyie mbona mnajimaliza kwa waganga? Mara zote wanaomizwa na matoleo ni nyie ambao wala hamsali, na mnaabudu mashetani. Huko kwenu mnatoa makafara ya damu za watu na hamfanikiwi

Hata Mwamposa Ni mganga. Unanyunyuzia maji kwenye nyumba, ukiamka asubuhi unakuta yamekufa mabundi na mapaka mengi. Huo sio uganga?
 
Nyie mbona mnajimaliza kwa waganga? Mara zote wanaomizwa na matoleo ni nyie ambao wala hamsali, na mnaabudu mashetani. Huko kwenu mnatoa makafara ya damu za watu na hamfanikiwi

Hao kutoa sadaka kwa waganga hakuhalalishi yale anayofanya Mwamposa. Mwingine akiua haihalalishi na wewe kuua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ