Mwamposa, haya makundi ya Kuwaombea yakiisha utayaombea Makundi gani mengine ili upige pesa zao kiulaini?

Mwamposa, haya makundi ya Kuwaombea yakiisha utayaombea Makundi gani mengine ili upige pesa zao kiulaini?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Tayari Umeshayaombea Makundi yafuatayo:

1. Wanawake na Uzao Wao
2. Wanaume Wapuuzi Wasiodindisha Mikuyenge / Mikurudungu yao
3. Wafanyakazi na Wafanyabiashara
4. Watoto
5. Wanafunzi
6. Wenye kuhitaji Mimba za Ndoa na Uzinifu
7. Wanandoa na wenye kuhitaji Waume na Mabwana

Leo nasikia uko na Kundi la Wanawake wenye Mimba ambazo hujawauliza ni za Waume zao wa Ndoa au ni za Mahawara au Marafiki zao.

Mwamposa kwa ninavyokujua unavyopenda Pesa na Unafurahi kutumia Akili ndogo za Wanaokuamini na Kuomba Kwako nahisi ipo / kuna Siku utakuja na Maombi kwa Watu / Makundi yafuatayo:

1. Maombi Maalum kwa Wanaune Wasioweza kupiga Bao / Goli Mbili Vitandani.

2. Maombi Maalum kwa Madereva Bodaboda nchini Tanzania ili wasipate Ajali na Kukatwa Miguu.

3. Maombi Maalum kwa Wanawake Wavivu wa Kuoga na hawapendi Kuoga.

4. Maombi Maalum kwa Wanaume wasiojua Kufua Boksa zao na Kunyoa Mapori yao Tengefu ya Kibaiolojia yaliyo Mafichoni.

5. Maombi Maalum kwa Madereva DalaDala wote wa Tanzania ili Polisi wasiwe wanawapiga Faini pale Wakiwakamata.

6. Maombi Maalum kwa Wachawi wote nchini Tanzania.

6. Maombi Maalum kwa Waathirika wote wa VVU nchini.

7. Maombi Maalum kwa Mashabiki wa Simba na Yanga.

Haya GENTAMYCINE leo nimekupa hizi Ideas zangu Saba (7) za Kupiga Hela kwa hayo Makundi hivyo nakuomba 10% yangu uwe Unanipa kwani najua ulikuwa hujayabuni haya Makundi au ulikuwa hujui au hujayafikiria vile vile sawa?
 
Tayari Umeshayaombea Makundi yafuatayo...

1. Wanawake na Uzao Wao
2. Wanaume Wapuuzi Wasiodindisha Mikuyenge / Mikurudungu yao
3. Wafanyakazi na Wafanyabiashara
4. Watoto
5. Wanafunzi
6. Wenye kuhitaji Mimba za Ndoa na Uzinifu
7. Wanandoa na wenye kuhitaji Waume na Mabwana

Leo nasikia uko na Kundi la Wanawake wenye Mimba ambazo hujawauliza ni za Waume zao wa Ndoa au ni za Mahawara au Marafiki zao.

Mwamposa kwa ninavyokujua unavyopenda Pesa na Unafurahi kutumia Akili ndogo za Wanaokuamini na Kuomba Kwako nahisi ipo / kuna Siku utakuja na Maombi kwa Watu / Makundi yafuatayo.....

1. Maombi Maalum kwa Wanaune Wasioweza kupiga Bao / Goli Mbili Vitandani.

2. Maombi Maalum kwa Madereva Bodaboda nchini Tanzania ili wasipate Ajali na Kukatwa Miguu.

3. Maombi Maalum kwa Wanawake Wavivu wa Kuoga na hawapendi Kuoga.

4. Maombi Maalum kwa Wanaume wasiojua Kufua Boksa zao na Kunyoa Mapori yao Tengefu ya Kibaiolojia yaliyo Mafichoni.

5. Maombi Maalum kwa Madereva DalaDala wote wa Tanzania ili Polisi wasiwe wanawapiga Faini pale Wakiwakamata.

6. Maombi Maalum kwa Wachawi wote nchini Tanzania.

6. Maombi Maalum kwa Waathirika wote wa VVU nchini.

7. Maombi Maalum kwa Mashabiki wa Simba na Yanga.

Haya GENTAMYCINE leo nimekupa hizi Ideas zangu Saba ( 7 ) za Kupiga Hela kwa hayo Makundi hivyo nakuomba 10% yangu uwe Unanipa kwani najua ulikuwa hujayabuni haya Makundi au ulikuwa hujui au hujayafikiria vile vile sawa?
Kama ni Kazi rahisi, jaribu na wewe bro!!
 
Kundi la boda boda linaweza jirekebisha bila hata maombezi. Wale vijana wangebadilika kama madereva wa daladala ajali zingepungua.

Mtu anakunywa vinywaji vikali,anashindia energy na boflo au skonzi,hafati sheria za barabarani,mwendo kasi hapo mzinga hamkosi
 
Back
Top Bottom