Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Analindwa na hawa Wafuatao....Kwa hili nakuunga mkono kwa 100%, huyu tapeli wa kuogopwa. Hivi mamlaka kwa nini zinamuacha tu? Au ndo mfumo unataidika na ujinga wa watu.
Japo umeuliza Kinafiki, ila GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nakujibu kuwa ana Asili ya huko kwa 99.99999%.Kumbe pauline zongo ni mkongo
Mwambie aache Utapeli na Uwongo.Wewe uko very bias aisee, hadi kero. Kwanini una chuki sana? Ukiharibu kitumbua cha mwenzako wafaidika na nini?
Tra wapo tu, baada wangechukua ushuru, mtu anapiga pesa ya maji na mafuta, Kenya ruto alisema walipe mapato watumishi wanaotoa maji na mafuta ya upako ni biashara Kama biashara nyingine.Maji, mafuta hayana jipya pale anafanya biashara ya maji kwa kupata faida kubwa sana ,
Endelea endelea Genta.Analindwa na hawa Wafuatao....
1. Mbabe wa Bungeni
2. Mbabe Wizara ya Fedha
3. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Mbabe mwenye Ushawishi kwa Mama na aliyependwa na Mama tokea akiwa Bunge la Katiba
4. Mstaafu mwenye Nguvu Tanzania ya sasa
5. Msanii Mmoja wa Kike maarufu ambaye anapendwa mno na Mama yenu na anaingia Magogoni na Chamwino atakavyo ambaye nae Anaombewa na huyu tunayemjadili kutokana na Matatizo yake Sugu ambaye Kihistoria duniani yalianza mwaka 1981.
6. IGP Mstaafu Mmoja
7. Mke wa Kiongozi aliyewahi kupendwa mno na Watanzania mwenye Ukaribu na Mama yenu.
Je, niendelee au kwa leo niishie hapa?
Endelea endelea Genta.Analindwa na hawa Wafuatao....
1. Mbabe wa Bungeni
2. Mbabe Wizara ya Fedha
3. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Mbabe mwenye Ushawishi kwa Mama na aliyependwa na Mama tokea akiwa Bunge la Katiba
4. Mstaafu mwenye Nguvu Tanzania ya sasa
5. Msanii Mmoja wa Kike maarufu ambaye anapendwa mno na Mama yenu na anaingia Magogoni na Chamwino atakavyo ambaye nae Anaombewa na huyu tunayemjadili kutokana na Matatizo yake Sugu ambaye Kihistoria duniani yalianza mwaka 1981.
6. IGP Mstaafu Mmoja
7. Mke wa Kiongozi aliyewahi kupendwa mno na Watanzania mwenye Ukaribu na Mama yenu.
Je, niendelee au kwa leo niishie hapa?
Acha kupenda Umbea....!!!!!!Endelea endelea Genta.
Endelea endelea Genta.
Nilikua najiuliza Kwa nini wanakuita popoma Leo ndo nmepata majibu. Aisee waache wanaume wenzio watafute pesa kama ni rahisi na wewe fanyaKaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?
Hujakosea kuna Demu Mmoja ( upande wa Media yake ) huwa nikikosa Mademu wa Kukaza huangukia Kwake na huwa najifanya kumsimulia Threads za hapa JamiiForums zinazomsema Mwamposa ( Boss wake ) bila ya kujua anayemkaza ndiyo GENTAMYCINE Mwenyewe na huniambia Jamaa ( Mwamposa ) anamchukia ( ananichukia ) mno na huwa Nacheka sana Kimoyomoyo.
Upumbavu hauna jinsia, wapo sema ndio wale hoe haeHivi kuna wanaume kule...?
Anamsagia kunguni mwanaume mwenzie ambae amemzidi Hadi dhambipunguza kujiona Anna Tibaijuka.
Hakika wewe ndio charismatic fella, nzagamba.Kaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?
Hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.......Anamsagia kunguni mwanaume mwenzie ambae amemzidi Hadi dhambi
Wajinga mtaani nao wamekuwa wengi ngoja wagongwe tu na nyoka hadi waamke..Kaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?
video tuone mkongo Feki alivyopuyangaKaanza kwanza Kujitambulisha kuwa Yeye ni Mkongo ( kutoka DRC ) kisha akaanza Kuzungumza kwa Lafudhi Feki ya Kikongo baadae akajisahau akarejea katika Lafudhi yake ya Asili ya Wanawake wa Kiuswahilini wa Temeke Mtongani.
Mwamposa Mimi GENTAMYCINE nimekaa na kuishi na Wakongo na labda tu nikuambie Mkongo hata akae Tanzania miaka 50 bado tu ile Lafudhi yake ya Kibandeko Nangai ( Kikongo ) itaendelea tu kubakia Ulimini mwake.
Mfano hai ninao Mwamposa mtafute Mwanamuziki Nyoshi El Sadaat au Papi Kocha au Dada Pauline Zongo au Mzee Zahoro kaa nao japo wameishi, wameoa na wamezaa hapa Tanzania kwa miaka mingi ila ile Lafudhi yao ya Kikongo ipo vile vile tu.
Hivi unapata Ujasiri gani Kuwahadaa Watu ( hasa Waumini wako ) hapo Kanisani Kwako?
Haya tena Mwamposa kuna Kijana Mmoja ameshuhudia hapo kasema kuwa alikuwa amefungwa Jela na katoka baada ya Kutumia Maji na Mafuta unayoyaombea na Kuwauzia kwa Tsh 1000 kwa Chupa wakati Wewe Kiwandani unayanunua kwa Tsh 400 tu.
Mwamposa najua utanichukia na unanichukia kweli kweli GENTAMYCINE Mimi ila kwa Kujiridhisha zaidi kutokana na Mtandao wangu mkubwa nilionao wa Watendaji Waandamizi mbalimbali nchini ni kwamba si kweli kuwa huyo Kijana alitoka Jela kwa msaada wa Maji na Mafuta yako ya Uwongo na Kweli bali kumbe Wiki Mbili kabla Yeye kwenda Mahakamani na hata kuanza kukujua na kutumia Vitu vyako unavyowauzia alishajulishwa na Watu wa Gerezani alikokuwa kuwa anaenda Kuachiwa
Kwanini unapenda Uwongo Uwongo Wewe Baba tena ukijifanya unalitumia na unalitaja sana Jina la Yesu Kristo na Mwenyezi Mungu? Unapata faida gani?
Halafu wenye Akili Kubwa kukuzidi na tunaojua mambo tukikuambia kuwa hawa Watoa Ushuhuda wako hapo Kanisani huwa Unawapanga na Kuwafundisha cha Kusema ili Wawavutie Mamburula wengine unakataa, unakasirika na mpaka Wengine unatufungia Kula na Kunywa ili Mabaya yatupate ila ndiyo Kwanza tu mazuri na mema ya Mwenyezi Mungu ( Mungu wa Kweli ) yanatutokea tu.
Haya niambie GENTAMYCINE umejisikiaje huyo Dada aliyejitambulisha kuwa ni Mkongo kuanza Kutuigizia kuongea kwa Lafudhi Feki ya Kikongo na baadae akakukumbuka kuwa Yeye ni Mtanzania tena Mswahili tu wa Tandale na Temeke na kuanza Kuongea kwa Kiswahili chake Sanifu kabisa alichokibobea?
Hebu mwogope Mungu basi Okay?