Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

Kuna mtumishi mmoja hapa kazini huwa namwambia mimi nataka maombi nipate gari nataka uniombee nikiamka siku moja nikutane na ndinga ndani ya geti likiwa full document tena nikamwambia nataka Kluger nyeusi, seat za leather....... Au kama sio gari basi nikute mpunga wa kutosha kununua gari chini ya kitanda changu 😁

Haya ndiyo maombi niyatakayo, sio uniambie unaniombea ila bado itanibidi nifanye kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato ndio muujiza wako utimie 'nonsense!' piga maombi mzigo ushuke live 😛
 
Biashara ni matangazo , hata yule anaetoa magari na pesa ni ishu ya market pale kwa nn asiwape magari na pesa waumini wake masikini.
Ishu ni kuwavuta wengi wajae wakiamini ipo siku nao watapewa.
Wingi wa watu ndio wingi wa sadaka
 
Kuna mtumishi mmoja hapa kazini huwa namwambia mimi nataka maombi nipate gari nataka uniombee nikiamka siku moja nikutane na ndinga ndani ya geti likiwa full document tena nikamwambia nataka Kluger nyeusi, seat za leather....... Au kama sio gari basi nikute mpunga wa kutosha kununua gari chini ya kitanda changu 😁

Haya ndiyo maombi niyatakayo, sio uniambie unaniombea ila bado itanibidi nifanye kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato ndio muujiza wako utimie 'nonsense!' piga maombi mzigo ushuke live 😛
Hayo anaweza shetani kwa gharama ya damu YAKO ukitaka pesa na utajiri huo
 
Hayo anaweza shetani kwa gharama ya damu YAKO ukitaka pesa na utajiri huo
Kama naweza kufanya kazi kwa bidii nikapata pesa sina haja na huyo shetani na kama Mungu ananitendea miujiza nimuombapo bila kumtegemea mtu, Mwamposa wa nini nini sasa?! Nonsense!
 
Acha watu wale mkuu, ujinga unaposhamili ndipo wkt wa wengine kufaidika.
Screenshot_20230320-221437.png
 
Watu wanatoa ushuhuda wamepona kansa, Ukimwi na magonjwa mengine sugu yaliyoshindikana hospital. Wanaonesha majibu ya vipimo kabla na baada ya kuombewa. Watu wa Dar es Salaam mtuambie ni ya kweli haya?
 
Kuna mtumishi mmoja hapa kazini huwa namwambia mimi nataka maombi nipate gari nataka uniombee nikiamka siku moja nikutane na ndinga ndani ya geti likiwa full document tena nikamwambia nataka Kluger nyeusi, seat za leather....... Au kama sio gari basi nikute mpunga wa kutosha kununua gari chini ya kitanda changu 😁

Haya ndiyo maombi niyatakayo, sio uniambie unaniombea ila bado itanibidi nifanye kazi kwa bidii ili kujiongezea kipato ndio muujiza wako utimie 'nonsense!' piga maombi mzigo ushuke live 😛
Hakuna maombi ya hivyo
Wr kama una magonjwa sugu nenda kaombewe utatupa mrejesho
 
akili kubwa anapiga hela huko, wewe akili kubwa yako unasengenya, nani ana akili kubwa hapo!?
 
Back
Top Bottom