Mwamposa huyu mtoa shuhuda wako anayejifanya ni Mkongo amekosea Script ya uongo na maelekezo yako ya Kitapeli?

Kwa hili nakuunga mkono kwa 100%, huyu tapeli wa kuogopwa. Hivi mamlaka kwa nini zinamuacha tu? Au ndo mfumo unataidika na ujinga wa watu.
Analindwa na hawa Wafuatao....

1. Mbabe wa Bungeni
2. Mbabe Wizara ya Fedha
3. Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa Mbabe mwenye Ushawishi kwa Mama na aliyependwa na Mama tokea akiwa Bunge la Katiba
4. Mstaafu mwenye Nguvu Tanzania ya sasa
5. Msanii Mmoja wa Kike maarufu ambaye anapendwa mno na Mama yenu na anaingia Magogoni na Chamwino atakavyo ambaye nae Anaombewa na huyu tunayemjadili kutokana na Matatizo yake Sugu ambaye Kihistoria duniani yalianza mwaka 1981.
6. IGP Mstaafu Mmoja
7. Mke wa Kiongozi aliyewahi kupendwa mno na Watanzania mwenye Ukaribu na Mama yenu.

Je, niendelee au kwa leo niishie hapa?
 
Maji, mafuta hayana jipya pale anafanya biashara ya maji kwa kupata faida kubwa sana ,
Tra wapo tu, baada wangechukua ushuru, mtu anapiga pesa ya maji na mafuta, Kenya ruto alisema walipe mapato watumishi wanaotoa maji na mafuta ya upako ni biashara Kama biashara nyingine.
 
Endelea endelea Genta.
Endelea endelea Genta.
 
Nilikua najiuliza Kwa nini wanakuita popoma Leo ndo nmepata majibu. Aisee waache wanaume wenzio watafute pesa kama ni rahisi na wewe fanya
 

punguza kujiona Anna Tibaijuka.
 
Dah hawa jamaa wanapiga sana hela kuna documentary moja niliona ya South Africa jamaa aliamua kufatilia whats really behind hawa wanaojiita miungu watu.. Its really scary
 
Hakika wewe ndio charismatic fella, nzagamba.
 
Wajinga mtaani nao wamekuwa wengi ngoja wagongwe tu na nyoka hadi waamke..
 
Aiseee! kama ni hivyo kaumbuka mbaya.......hawa manabii wa uongo wametabiriwa kwenye biblia kwamba watapotosha watu kwa miujiza feki hata wateule, huhitaji akili nyingi kutafakari maandiko kugundua kinachofanyika ni upotoshaji mkubwa kiimani........watu wanakanyagana hadi kufa kwenye kukanyaga mafuta!​
 
video tuone mkongo Feki alivyopuyanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…