The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Kila mtu apambane na hali yake,tuache umbea umbea..Kwani wao hawajui kama usafiri huko huwa ni wa shida..
Jamani tusiwe tunaropoka tu kama watoto ,waacheni watu watafute suluhu ya matatizo yao
Jamani tusiwe tunaropoka tu kama watoto ,waacheni watu watafute suluhu ya matatizo yao