The lastborn9319
JF-Expert Member
- Oct 30, 2021
- 852
- 1,745
Siunaona [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kama ambavyo hata Upumbavu ulionao huwa haudanganyi vile vile.
Unauliza Mauwaji Ukraine na Urusi?Vipi kuhusu kongamano la mkesha si mnawalaga sana
Karibu sana Ndugu uwe Fisi Mwenzetu.Ntakuja kuongeza idadi ya mafisi
Yuko sana tu na huwa ni Mtata mno!Mkuu mbona unaandika kana kwamba Mwamposa mwenyewe Yuko humu JF?
Anyway ujumbe huu umfikie!
99% ya Kondoo wake ni Mazuzu sana.Hakika kuna kizazi kitakuja kumuongelea vibaya sana huyu bwana huko mbeleni pindi wakipata uelewa wao binafsi.
Juzi nimekutana na msululu wa watoto maeneo ya kinondoni wanapiga kwata kutokea huko kawe sasa sijui wanaelekea mbagala wale na hivi dar imejaa mataa taa kila hatua wala hawajali huo umbali wanaoutembea.
Nakubaliana nawe Ndugu 100% zote!!Wale mbuzi wake wacha wataabike tu.
Zile mbuzi si za kuonea huruma
Huko ndiko huvuna wa Kuwabandua.Unakaaje kanisani masaa yote hayo?
Huna kazi za kufanya?
Lini amekuwa ni MINOCYCLINE Ndugu?Sawa GENTAMYCINE umesikika.
Umeninyima Shimo ili Niuchomeke.Unapenda kulaumu Sana ,umepatwa na nini siku hizi
Sina ID nyingine zaidi ya hii ya MINOCYCLINE hapa na kama nawe unaamini kuwa Mimi ni huyo Basha wenu mnayempenda na Kumshobokea Kutwa badi nawe utakuwa ni damn Fool kabisa sawa?Any time ni kulalama ,mpaka unabadili ID ,shida nini ? Be copetant
Neno uliloliandika la Copetant umelitoa wapi?Wewe ni mshamba mmoja hivi uliokosa direction ya mjini,umebaki unatapatapa tuu.
Na ndipo hapo sasa Sisi Mafisi tunapowabandua mno na tutawabandua hadi Mapepo yao yawatoke.Idadi ya waumini ni wengi mno, lazima kupata usafiri kwa mara moja itakuwa ngumu...
Naomba kujua maana ya neno lako la Copetant uliloliandika tafadhali.Utapewa shimo wakati hata kutongoza haujui