Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
Emb tuelezeMtakatishaji pesa namba moja huyo, akileta ujinga tunamuanika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Emb tuelezeMtakatishaji pesa namba moja huyo, akileta ujinga tunamuanika
Thubutuuuuu hana ubavu huo [emoji1787]Angesema, kama huna passport kuanzia mwezi wa 5 usije kanisani kwangu.
Jamani kumbe Wanyakyusa mna dharau [emoji2296]Washamshibisha acha watukanwe, unacheza na dharau za siye wanyakyusa. Huna mboga ndani unaenda kupeleka sadaka kwa mwamposa[emoji15] Tumieni akili
Ah si ni hii serikali ndio kikwazoBwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
Mama hakimi angekua anasali kwa huko sahivi mali zote zingekua kwa mwamposaWakina mama huwaambii kitu kuhusu Mwamposa 😂
😂😂ulitaka uolewe na mnyakyusa? But wastaarabu wapo mkuuJamani kumbe Wanyakyusa mna dharau [emoji2296]
Basi nimeghairi
Kumbe wanyakyusa ndio mpo hivyo?Washamshibisha acha watukanwe, unacheza na dharau za siye wanyakyusa. Huna mboga ndani unaenda kupeleka sadaka kwa mwamposa😳 Tumieni akili
Hayo ndio majibu yatokanayo na fungu la kujimaliza[emoji16]Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angesema, kama huna passport kuanzia mwezi wa 5 usije kanisani kwangu.
Anawapiga falaWashamshibisha acha watukanwe, unacheza na dharau za siye wanyakyusa. Huna mboga ndani unaenda kupeleka sadaka kwa mwamposa😳 Tumieni akili
Mtakatishaji pesa namba moja huyo, akileta ujinga tunamuanika
[emoji23][emoji23]ulitaka uolewe na mnyakyusa? But wastaarabu wapo mkuu
enzi zake yeye hata kitambulisho tu hakuwa nacho, enzi zile anashikwa mkono avushwe barabara baada ya kuiona dsm kama ulaya.Bwana asifiwe,
Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?