MWAMPOSA: Kama huna Passport wewe ni mtu usiyejielewa

MWAMPOSA: Kama huna Passport wewe ni mtu usiyejielewa

Bwana asifiwe,

Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
Hivi huyu ndiye aliyeahidi kuwapeleka wa umini wake ulaya🤔
 
Soon anaanza biashara ya kupeleka waumini Israel, passport ni maandalizi tu
 
Bwana asifiwe,

Buldozer kaamua kuwachamba waumini wake wasio na passport, anawaambia kila siku wanakaa Manzese wakienda mbali KKOO. Hivi mtu aache kuwaza mlo wa mchana aje awaze passport kweli?
Nilidhani anaongelea Passport ya kwenda Mbinguni ambayo ni kumpokea Yesu kuwa Bwana na Mwokozi.

Mungu azidi kuwapa makuhani wetu hekima
 
Back
Top Bottom