Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Hapo tatizo unakuta hakuna mfumo wa uongozi ulio clear, pesa ya kampuno inatakiwa itoke kwa kufuata muongozo wa kampuni wa ulipaji au vikao rasmi.
Heheh kikao si ni whatsapp family chat inapitisha. Kwakifupi waafrika huwezi kuwatengenanisha na kampuni zao interms of matumizi. Ukikataa muhasibu watakuambia hizi mali si zako. Hujui tulipozipata. Kama umekua kiburi kesho tutaleta muhasibu mwingine.
 
Kumbe sio mimi peke yangu? Sasa Mkuu sisi tunaotumia usafiri wa umma wa magari yanayoelekea huko kanisani kwake ndio kila siku za mikutano/ibada nakutana nao wakiwa wamejazana kwenye gari watoto wadogo wamechoka naumia sana.

Wamama wenyewe ukiwatazama wanatia huruma kuliko hao watoto, wamejazana na chupa za maji kwenye gari wako hoi hadi wanapitiliza vituo!
 
sawa dada makamasi chaumbea
 
Hii radio kwa Sasa haishawishi kbsaa, watangazaji wake hawana content kbsaaa hasa wale wa joto la asubuhi, yaan angalau kipindi kizuri kwa Sasa kweny hii radio ni "Genge"tu kile Cha usiku.
Sasa watangazaji hawalipwi vizuri miaka nenda rudi ari wataipata wapi?
Wanajikongoja hivyohivyo.
 
Tunaofanya kazi kwenye kampuni za familia hiki ulikosema ni kama kupitisha kisu cha moto kwenye siagi, umekata kisawasawa.
 
ebwa
Hii radio kwa Sasa haishawishi kbsaa, watangazaji wake hawana content kbsaaa hasa wale wa joto la asubuhi, yaan angalau kipindi kizuri kwa Sasa kweny hii radio ni "Genge"tu kile Cha usiku.
ebwana dah genge kipind changu pendwa miaka na miaka toka kipind kile anafanya kicheko mtata mpaka miaka hii ya kina fido na samio ..
sema dah sijaskiliza redio siku nyingi tuko mikoani uku kwenye hrkt za kujikomboa na umaskin.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…