misasa
JF-Expert Member
- Feb 5, 2014
- 14,244
- 10,073
Nimetoa hints tu endelea kuanganisha dot mkuu, anzia na ile hotel ipo mbeyaKwamba yupo nyuma ya Mtumishi kumsaidia aipate EFM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetoa hints tu endelea kuanganisha dot mkuu, anzia na ile hotel ipo mbeyaKwamba yupo nyuma ya Mtumishi kumsaidia aipate EFM?
Asante sana nifaShukrani, nawe pia Mkuu.
Chanzo chakuaminika kimeweza kusemaWewe huwa nakuamini
Hio Haina tofauti Sana na showtime ya RFA, lakini kwa Sasa tunaskiliza The throne ya crown FM.Transformer ya Jonijoo na Almando vp?
Daaah haya, ila kwa kukupa siri tu taarifa zako huwa naziamini kwa asilimia kadhaa.Leo Vishu umeacha utata, umetema facts.
Safi.
Na hicho ndo kipindi Bora kilichobakia efm, vile vingne vyote watangazaji hawana ubunifu yaan ni kusoma matangazo tu kwisha na kuongea story kidogo za kawaida kbsaa kwa kifupi hawanaga jipya. Vipindi vya michezo ndo vile vile tuebwa
ebwana dah genge kipind changu pendwa miaka na miaka toka kipind kile anafanya kicheko mtata mpaka miaka hii ya kina fido na samio ..
sema dah sijaskiliza redio siku nyingi tuko mikoani uku kwenye hrkt za kujikomboa na umaskin.
Kbsaa binadamu hatuwezi kufananaBado mnasikilizaga radio na kutazama Television? Isee binadamu tunatofautiana sana
😂😂😂😂 Wajinga ndio waliwao,. Wanapata fedha wanazipeleka hukoKumbe sio mimi peke yangu? Sasa Mkuu sisi tunaotumia usafiri wa umma wa magari yanayoelekea huko kanisani kwake ndio kila siku za mikutano/ibada nakutana nao wakiwa wamejazana kwenye gari watoto wadogo wamechoka naumia sana.
Wamama wenyewe ukiwatazama wanatia huruma kuliko hao watoto, wamejazana na chupa za maji kwenye gari wako hoi hadi wanapitiliza vituo!
Hata Bwana Yesu alifuatwa na makutano tena wengi ni wanawake imagine kama wale waliolishwa mikate na samaki walikua ni wanaume 5000 ukitoa wanawake na watoto ambao walikua hawahesabiki kwa hiyo usiogope show ya Jesus inaendelea alipoishia Mwamposa anaendelezaJuzi napita kawe, nawaon wamama wamelala kwenye kordo za watu na watoto wao wakisubiria mkesha.
Ni wamama ambao ukiangalia hali zao zinatia huruma sana. Hawana hela za kulipia Vyumba vya wageni hata chakula sa ingine. Ila wanaenda kuacha hela zote tena kwa mtume wao ambae ni Billionea .
Naumiaga sana namna ya hao wamama kwa ujinga wao wanavyowatesa watoto kukesha na kuambatana nao kila mahali ilihali mtoto hajafika umri wa maamuzi.
Afadhali, atuachie ITV yetu tutazame Al Jazeera usiku mpaka asubuhi!View attachment 3184579
Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited.
EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni.
Mwamposa na Mkurugenzi wameshibana…
Mkurugenzi wa EFM Bwana Francis Ciza maarufu kama Majizzo (Mume wa muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’) wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na Askofu Mwamposa katika kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mikutano na ibada zinazoendeshwa na Mwamposa kwa kipindi kirefu.
Baada ya kufanya kazi pamoja kwa kipindi kirefu, hivi sasa wapo kwenye mazungumzo ya kumuuzia media hiyo Mwamposa.
Nimetaarifiwa kwamba vikao vya mauziano hayo vinafanyika kwa siri nyumbani kwa Majizo, huku dau likiwa bado halifahamiki lakini ikielezwa Majizzo anataka dau kubwa linalokwamisha taratibu za mauziano kuanza.
EFM Radio imemshinda Majizzo!
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na minong’ono ya wafanyakazi kushindwa kulipwa mishahara kwa wakati, ikisemekana wanaolipwa bila kusumbuliwa ni wale watangazaji wenye majina makubwa pekee, huku wale wachanga wakipitia wakati mgumu kimalipo.
Taarifa za uhakika ni kwamba redio hiyo imemshinda Majizzo, changamoto za uendeshaji zimemuelemea na inasemekana kama sababu kuu ya yeye kufikia uamuzi wa kumuuzia Mwamposa kampuni yote hiyo ya habari iliyokuja kuzipa chachu redio kongwe miaka ya mwanzoni mwa uzinduzi wake.
Majizzo siye mmiliki pekee…
Taarifa za usajili wa kampuni zinaonesha kumilikiwa na ndugu watatu, yeye Majizzo (Francis Ciza 40%) ndugu zake kwa upande wa baba yake mlezi Mzee Ciza… Jean Ciza 40% pamoja na Justine Ciza 20%
Wenu katika unyetishaji, mimi na chanzo changu,
Nifah.
KM Hawana ht Hela ya kula na ya kulala kwenye nyumba za wageni ,anakuwaje na Hela ya kumwachia Mwampos?Juzi napita kawe, nawaon wamama wamelala kwenye kordo za watu na watoto wao wakisubiria mkesha.
Ni wamama ambao ukiangalia hali zao zinatia huruma sana. Hawana hela za kulipia Vyumba vya wageni hata chakula sa ingine. Ila wanaenda kuacha hela zote tena kwa mtume wao ambae ni Billionea .
Naumiaga sana namna ya hao wamama kwa ujinga wao wanavyowatesa watoto kukesha na kuambatana nao kila mahali ilihali mtoto hajafika umri wa maamuzi.
Posa hawezi maliza Kuna wengine watapokea ,kazi inaendeleaHata Bwana Yesu alifuatwa na makutano tena wengi ni wanawake imagine kama wale waliolishwa mikate na samaki walikua ni wanaume 5000 ukitoa wanawake na watoto ambao walikua hawahesabiki kwa hiyo usiogope show ya Jesus inaendelea alipoishia Mwamposa anaendeleza
Hutaki ishara na uponyaji weye?
😁😁
Hao viumbe wako radhi wasile ila wakajimalize na sadaka.. Kwani si tunakutana nao wakiomba omba hela ili wapate nauli ya kurudi makwao. Wengine wanatembea umbali mrefu kwasababu washajimaliza kwa kutoa vyote walivyokuwa navyo.KM Hawana ht Hela ya kula na ya kulala kwenye nyumba za wageni ,anakuwaje na Hela ya kumwachia Mwampos?
Ndugu shida zisikie tu,usiombe yakukute hata utahangaika
Baada ya ule mkesha,.Juzi napita kawe, nawaon wamama wamelala kwenye kordo za watu na watoto wao wakisubiria mkesha.
Ni wamama ambao ukiangalia hali zao zinatia huruma sana. Hawana hela za kulipia Vyumba vya wageni hata chakula sa ingine. Ila wanaenda kuacha hela zote tena kwa mtume wao ambae ni Billionea .
Naumiaga sana namna ya hao wamama kwa ujinga wao wanavyowatesa watoto kukesha na kuambatana nao kila mahali ilihali mtoto hajafika umri wa maamuzi.
Na hapo lazima walitoa sadaka, wakanunua maji na mafuta.Baada ya ule mkesha,.
Nilipita maeneo ya TMJ hopistali mikocheni na kupishana na makundi ya wanawake na watoto wakitembea kwa miguu.wametoka mkesha na wanarudi kwao kinondoni, Mwananyamala na magomeni ni umbali wa kilometa 14.
Ukiwaangalia hali zao unapata picha aina ya waumini wa yule jamaa