Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Kama hii habari imetoka kwenye vyanzo vyako, nipo tayari kuiamini Kwa asilimia 99

Heri ya sikukuu ya Christmas Mjukuu, natumai wewe na Mkwe wetu nyote hamjambo 🙏🙏
Habari ni ya uhakika Babu, labda tu washindwane.

Heri ya sikukuu Babu yangu, mie na mkweo hatujambo kabisa.
 
Hadi hapa naamini Wanaume hatuzeeki

Unaweza ukawa na miaka 50 ukaja Kuoa kabinti ka miaka 21 😜

Tuendelee kula mtori ama tunywe mchuzi wote
Unaweza kabisa lakini stress yake wewe baki kuisikia tu.

Tumewahi kuwa na jirani mzee aliyeoa kabinti basi alikuwa asione kijana anamtazama mkewe roho juu!
 
View attachment 3184579

Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited.

EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni.

Mwamposa na Mkurugenzi wameshibana…
Mkurugenzi wa EFM Bwana Francis Ciza maarufu kama Majizzo (Mume wa muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’) wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na Askofu Mwamposa katika kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mikutano na ibada zinazoendeshwa na Mwamposa kwa kipindi kirefu.

Baada ya kufanya kazi pamoja kwa kipindi kirefu, hivi sasa wapo kwenye mazungumzo ya kumuuzia media hiyo Mwamposa.

Nimetaarifiwa kwamba vikao vya mauziano hayo vinafanyika kwa siri nyumbani kwa Majizo, huku dau likiwa bado halifahamiki lakini ikielezwa Majizzo anataka dau kubwa linalokwamisha taratibu za mauziano kuanza.

EFM Radio imemshinda Majizzo!
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na minong’ono ya wafanyakazi kushindwa kulipwa mishahara kwa wakati, ikisemekana wanaolipwa bila kusumbuliwa ni wale watangazaji wenye majina makubwa pekee, huku wale wachanga wakipitia wakati mgumu kimalipo.

Taarifa za uhakika ni kwamba redio hiyo imemshinda Majizzo, changamoto za uendeshaji zimemuelemea na inasemekana kama sababu kuu ya yeye kufikia uamuzi wa kumuuzia Mwamposa kampuni yote hiyo ya habari iliyokuja kuzipa chachu redio kongwe miaka ya mwanzoni mwa uzinduzi wake.

Majizzo siye mmiliki pekee…
Taarifa za usajili wa kampuni zinaonesha kumilikiwa na ndugu watatu, yeye Majizzo (Francis Ciza 40%) ndugu zake kwa upande wa baba yake mlezi Mzee Ciza… Jean Ciza 40% pamoja na Justine Ciza 20%

Wenu katika unyetishaji, mimi na chanzo changu,

Nifah.
Mwamposa ni investor mkubwa pale
Hata jengo kajenga
 
Unaweza kabisa lakini stress yake wewe baki kuisikia tu.

Tumewahi kuwa na jirani mzee aliyeoa kabinti basi alikuwa asione kijana anamtazama mkewe roho juu!
Hahaha...............Mimi pia Mwaka Jana nilijichanganya Kwa Kuoa kabinti nilikapita miaka 45 hivi

Kwa kweli Kwa mara ya kwanza nililazimika kumpeleka hadi Sokoni kuogopa kuibiwa 🙌
 
Hahaha...............Mimi pia Mwaka Jana nilijichanganya Kwa Kuoa kabinti nilikapita miaka 45 hivi

Kwa kweli Kwa mara ya kwanza nililazimika kumpeleka hadi Sokoni kuogopa kuibiwa 🙌
Babu una mengi jamani? Hadi kuoa kabisa?
Loh!

Siwezi kukuacha peke yako na mkweo, huchelei kumpa mbinu za kijangili.
 
View attachment 3184579

Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited.

EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni.

Mwamposa na Mkurugenzi wameshibana…
Mkurugenzi wa EFM Bwana Francis Ciza maarufu kama Majizzo (Mume wa muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’) wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na Askofu Mwamposa katika kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mikutano na ibada zinazoendeshwa na Mwamposa kwa kipindi kirefu.

Baada ya kufanya kazi pamoja kwa kipindi kirefu, hivi sasa wapo kwenye mazungumzo ya kumuuzia media hiyo Mwamposa.

Nimetaarifiwa kwamba vikao vya mauziano hayo vinafanyika kwa siri nyumbani kwa Majizo, huku dau likiwa bado halifahamiki lakini ikielezwa Majizzo anataka dau kubwa linalokwamisha taratibu za mauziano kuanza.

EFM Radio imemshinda Majizzo!
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na minong’ono ya wafanyakazi kushindwa kulipwa mishahara kwa wakati, ikisemekana wanaolipwa bila kusumbuliwa ni wale watangazaji wenye majina makubwa pekee, huku wale wachanga wakipitia wakati mgumu kimalipo.

Taarifa za uhakika ni kwamba redio hiyo imemshinda Majizzo, changamoto za uendeshaji zimemuelemea na inasemekana kama sababu kuu ya yeye kufikia uamuzi wa kumuuzia Mwamposa kampuni yote hiyo ya habari iliyokuja kuzipa chachu redio kongwe miaka ya mwanzoni mwa uzinduzi wake.

Majizzo siye mmiliki pekee…
Taarifa za usajili wa kampuni zinaonesha kumilikiwa na ndugu watatu, yeye Majizzo (Francis Ciza 40%) ndugu zake kwa upande wa baba yake mlezi Mzee Ciza… Jean Ciza 40% pamoja na Justine Ciza 20%

Wenu katika unyetishaji, mimi na chanzo changu,

Nifah.
Oooyeeeah ni Niffer tena...

Na chanzo chetu ni kile kile kama TBC ukweli na uhakika n swala la muda let's wait and see...
 
Sasa hivi kuna Crown kumbuka, hivyo ushindani uliongezeka.

Kuondoka kwa EFM kutaleta afueni, kwamba ni bora kupambana na wachache kuliko wengi.
Kama wanafikiri hivyo basi hii nchi kuendelea kazi sana
 
Nimefurahi kusikia mnaendelea vizuri, Mwakani panapo majaaliwa nitakuja kuwatembelea huko Mjini kwenu 🤗

Kuhusu story za town, hauna mpinzani
Asante Babu, karibu sana.
 
View attachment 3184579

Katika kilichoonekana kama kusogeza ‘huduma’ karibu kwa waumini wa kanisa lake, Askofu na Mtume Boniface Mwamposa yupo kwenye mchakato wa kuinunua EFM Company Limited.

EFM ni kampuni iliyosajiliwa kama chombo cha habari, ikiwa na umiliki wa Redio na Televisheni.

Mwamposa na Mkurugenzi wameshibana…
Mkurugenzi wa EFM Bwana Francis Ciza maarufu kama Majizzo (Mume wa muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’) wamekuwa wakishirikiana kwa ukaribu na Askofu Mwamposa katika kurusha matangazo ya moja kwa moja ya mikutano na ibada zinazoendeshwa na Mwamposa kwa kipindi kirefu.

Baada ya kufanya kazi pamoja kwa kipindi kirefu, hivi sasa wapo kwenye mazungumzo ya kumuuzia media hiyo Mwamposa.

Nimetaarifiwa kwamba vikao vya mauziano hayo vinafanyika kwa siri nyumbani kwa Majizo, huku dau likiwa bado halifahamiki lakini ikielezwa Majizzo anataka dau kubwa linalokwamisha taratibu za mauziano kuanza.

EFM Radio imemshinda Majizzo!
Kwa kipindi kirefu kumekuwa na minong’ono ya wafanyakazi kushindwa kulipwa mishahara kwa wakati, ikisemekana wanaolipwa bila kusumbuliwa ni wale watangazaji wenye majina makubwa pekee, huku wale wachanga wakipitia wakati mgumu kimalipo.

Taarifa za uhakika ni kwamba redio hiyo imemshinda Majizzo, changamoto za uendeshaji zimemuelemea na inasemekana kama sababu kuu ya yeye kufikia uamuzi wa kumuuzia Mwamposa kampuni yote hiyo ya habari iliyokuja kuzipa chachu redio kongwe miaka ya mwanzoni mwa uzinduzi wake.

Majizzo siye mmiliki pekee…
Taarifa za usajili wa kampuni zinaonesha kumilikiwa na ndugu watatu, yeye Majizzo (Francis Ciza 40%) ndugu zake kwa upande wa baba yake mlezi Mzee Ciza… Jean Ciza 40% pamoja na Justine Ciza 20%

Wenu katika unyetishaji, mimi na chanzo changu,

Nifah.
Inaenda kupotea mazima
 
Wakristo mnapumbazwa na waislamu kwa kutengenezewa mitume feki na kuwapa vibari vya kuwapumbaza hili waislamu wazidi kushika njia kuu za uchumi wa nchi ...baada ya miaka 10 kutoka sasa hakuna mkristo atakaye kuwa tajiri wa maana ....matajiri wote watakuwa waislamu na zaidi waislamu wenye asili ya kiarabu ...wao ndiyo watakuwa waajili nchi

Wakristo mnapumbazwa na waislamu kwa kutengenezewa mitume feki na kuwapa vibari vya kuwapumbaza hili waislamu wazidi kushika njia kuu za uchumi wa nchi ...baada ya miaka 10 kutoka sasa hakuna mkristo atakaye kuwa tajiri wa maana ....matajiri wote watakuwa waislamu na zaidi waislamu wenye asili ya kiarabu ...wao ndiyo watakuwa waajili nchini
UMEWAZA SANA.
 
Back
Top Bottom