Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.


Hakuna baraka bila ungamo la dhambi, dhambi ni laana, hamuoni tunadanganywa? Wewe na wote (kwenye bin)
 
Umeshauri mambo ya msingi sana ,

Naamini umesukumwa na Pendo la Kristo kufanya hivyo,

Naamini ni kwa wema tu,

Akitaka tia kazi hayo itakuwa vizuri sana huduma hiyo.
 
Nyongeza:

5. Aingeze viti Na mahema watu wasipigwe na jua wala mvua hasa wa ibada ya pili.


6. Huduma ya vyoo sio ya kuridhisha.
 
Umeshauri mambo ya msingi sana ,

Naamini umesukumwa na Pendo la Kristo kufanya hivyo,

Naamini ni kwa wema tu,

Akitaka tia kazi hayo itakuwa vizuri sana huduma hiyo.
mwamposa ni mbwa mwitu aliejivika ngozi ya kondoo
 
Hahah huo ni mpango wa kanisa kusaidia masikini..hua ipo hiyo ...kwanini usitoe ushauri kanisani kwako wakaanzisha..waamuzi si nyie wenyewe.. kanisa Lina viongozi ambao hawana biashara nyingine zaidi ya kusimamia waamini kimaadili ya kanisa na kuwarudisha kondoo waliopotea katika dhambi.. unadhani wataishije na familia zao Hawa..lakini Mungu ameagiza toa fungu la kumi la kila mapato yako ambalo utalipeleka huwahudumia wachungaji na makuhani..hiyo ni sadaka pia...utakuwa umebarikiwa wewe na uzao wako na kazi zako zote Inazokupa kipato hicho
Kwa kifupi wanavutia kwao,kanisa Lina shule ya watoto last Sunday,baada ya ibada tukaambiwa tusiondoke twende tukaangalie maendeleo ya shule ili Basi tuombee pale tutakapoguswa,tunafika tunaanza kuobwa michango ya ujenzi jumla wamepiga hesabu million 60,hapo bado Kuna zahanati ya kanisa,still wanataka kujenga kanisa lawatu 3000,so in real sense kuhitaji watu wengi kiasi hicho ni maokoto tu,ifike hatua tusaidie mayatima tu Hawa pesa wanazopata na familia zao inatosha
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.


I like him, a very good business Man, anakemea na kuzalilisha wafanyakazi wake, ila hakemei dhambi,

Kabla ya baraka na kila kitu Yesu came kukomboa roho toka dhambini, that ia His no 1 Business.

Na akishaokoa roho, then everything follows baraka, amani furaha kama utakuwa mtii.

Sasa hilo kundi la watenda dhambi kama unavyosema linapata wapi baraka?


very good business Man, endeleeni kuibiwa.
 
Kuhusu kuepuka kumaliza ibada usiku ile ya pili,

Hapa ni rahisi tu,

Anaweza kuwahi kuanza na kumaliza ile ya kwanza ,
Kisha kuwahi na kuanza ya pili mapema ili ikifika saa 12 jioni kamili watu wana elekea majumbani mwao ,

Wake za watu wakapikie waume zao mapema.

Apunguze muda wa shuhuda n.k.
 
Kwa kifupi wanavutia kwao,kanisa Lina shule ya watoto last Sunday,baada ya ibada tukaambiwa tusiondoke twende tukaangalie maendeleo ya shule ili Basi tuombee pale tutakapoguswa,tunafika tunaanza kuobwa michango ya ujenzi jumla wamepiga hesabu million 60,hapo bado Kuna zahanati ya kanisa,still wanataka kujenga kanisa lawatu 3000,so in real sense kuhitaji watu wengi kiasi hicho ni maokoto tu,ifike hatua tusaidie mayatima tu Hawa pesa wanazopata na familia zao inatosha
na wewe unaendaga kwa mwamposa ?
 
na wewe unaendaga kwa mwamposa ?
Sijawahi kwenda kiongoz,Kuna kipindi alikuja pande zetu jirani yangu bhana akachota mchanga kwenye duka lake akapeleka nikamwangaliaa nikasema huu si ulozi kabisa😄
 
Mtumishi wa mungu ni vyema kuzingatia jamii na waumini wanataka nini katika maisha yao, yafuatayo ni kero nilizozibaini mimi kama miongon mwa waumini wake.

1. Ibada ndefu/ mpaka usiku inayopelekea usafiri kuwa wa shida, kumbuka waumini wengi wanategemea usafiri wa uma afu wanakaa mbali afu wana watoto na pengine hupelekea kukabwa usiku kwa waenda kwa miguu.

2.Kutokukemea dhambi, mimi ni mhudhuriaje mkubwa wa ibada kwa Mwamposa lakini skumbuk ni lini kakemea dhambi, ingawaje watu wanaenda pale wa kila aina, makahaba, malaya, wezi, mashoga n.k. Lakini mtumishi anadeal sana na kutoa baraka na upako pasipo kuhubiri amani,upendo,na maadili mema ukizingatia kuhusu jinamizi hili la ushoga, mtumishi ongelea ata hili tu kwa ufupi kanisa la mwamposa limekuwa kichaka cha watenda maovu, wanafurahia kutoongelewa. labda anahofia waumini kukimbia kanisa!?

3. Sadaka ni nyingi mmezipa majina mengi afu mnatoa baraka/upako kulingana na kipato cha mtu...yaan wewe mwenye elfu 5 unatofautishiwa baraka na yule mwenye kutoa elfu 50. Jambo hili linawafanya walio na kipato cha chini kujihisi wanyonge au kujihisi kupungukiwa na kitu..jambo hili binafsi linanikera na mnawapa adui zenu nafasi ya kupondea huduma hii.

4.Ukali(kufokewa).. mtumishi amekosa kauli ya kuwarekebisha watenda kazi wake pale wanapokosea amekuwa akiwadhalilisha kwa kuwafokea mbele za watu na mbele ya kamera kama mtumishi unapaswa kuwa mtaratibu kukemea kwa hekima kwa kutambua wengine ni watu wazima wana familia zao...utasikia toa hyu apa wekeni mtu sahihi pale...walinzi,washika maiki, camera man, wanafanya kazi kwa hofu kubwa sanaaa..waondolee hofu wafanyakazi wako!

Ni hayo tu niliyobaini mimi..naomba yeyote mwenye uwezo wa kufikisha haya ayafikishe kwa namna yyte ilee.... lakini pamojaa na hayo nimepokea muujiza kupitia ibada yake mungu ambariki na ajirekebishe ili huduma iwe rafik kwa wengi! Ahsanten na samahani kwa uandishi mbovu.
Huyo ni tapeli Mwamposa kama matapeli wengine uwajuao.
 
Sijawahi kwenda kiongoz,Kuna kipindi alikuja pande zetu jirani yangu bhana akachota mchanga kwenye duka lake akapeleka nikamwangaliaa nikasema huu si ulozi kabisa😄
waganga wa kienyeji wanajiteteaga kuwa wao hawana ushirika na shetani na watu wakaamini.
sasa shetani kaleta waganga makanisani na hakuna kupiga lamli ni kumwagia mafuta tu au kubandika mikoni.

Shetani ana mbinu sana
 
Mwamposa naye ni mtumishi wa Mungu?, au mtumishi wa mungu? Hilo siyo kanisa ndugu ni kijiwe cha kupigia pesa, fungua ma ho umtafute Mungu wa kweli alipo.
 
tatizo waumini hawapo Teyar kuacha dhambi ,hata hivyo tunahtaji kujitahd kuish maisha ya haki na uadilifu
 
Back
Top Bottom