Mwamposa, ni vyema ukarekebisha baadhi ya vitu ambavyo ni kero kwa waumini wako na jamii kwa ujumla

Bado kuwafungisha msosi mpaka mfe.mwenye akili akishaona upuuz km huo ana acha kwenda hakuna mungu wa kwel kwa mwamposa
 
Watu tukiwa na shida tukakosa na akili tunageuka mandezi

Hivi ukiwa na akili timamu kabisa unaweza kusema Mwamposa anaendesha ibada yenye uhusiano na Mungu?

Kama kweli kuna kiama basi Mungu tuliyefundishwa kwamba ana wivu mkubwa ana kazi kubwa sana!

Binafsi hawa kina Mwamposa, Mzee wa upako, Geo Devie, Mwingira na wengine kama hao. Nadhani hawa ndo kesi study ya ukweli tuliyoletewa ya kwamba siku za mwisho kutakuwa na manabii wa uongo walioletwa na yule mwovu ibilisi.

Hawa ni kesi study ya ibilisi kabisa hivyo mtu mwenye akili timamu hawezi kushangaa kwanini mikutano yao watu wanajaa sana
 
Mwakasege miaka yote akiwa kwenye huduma mwisho ni saa 12 jioni watu wanatawanyika kwenda makwao.

Labda kama miaka hii amebadilika maana sijahudhuria miaka ya hivi karibuni.

Lakini zamani alikuwa na nidhamu kubwa ikifika saa 12 jioni watu wanatawanyika kurejea makwao.

Hata watumishi wengine ni hivyo mara nyingi.

Kabla giza kuingia saa 12 watu wanatawanyika ibada inaahirishwa.
 
sometimes! kukaa kimya ni hekima pia. ukisoma kumbukumbu la torati 12:5-9, malaki 3:8-12, mathayo 23:23-24. katika vitabu hapo juu, MUNGU anazungumzia kuhusu kumtolea sadaka, kupitia kuhani wake(NOTE:KUPITIA KUHANI WAKE) na faida utakayoipata wewe. kwahiyo sadaka ni agizo la MUNGU na sheria kama sheria nyingine. KUJIFUNZA ZAIDI; INGIA YOUTUBE NA UTAFUTE "ROBERT TV TANZANIA" hapo unaweza kupata maarifa za MUNGU. WATU WANGU WANAANGAMIZWA, KWA KUKOSA MAARIFA.
 
Naku uliza hivi,

Mungu muweza wa yote anahitaji sadaka ya nini? Wakati yeye anaweza yote?
 
Naku uliza hivi,

Mungu muweza wa yote anahitaji sadaka ya nini? Wakati yeye anaweza yote?
ukisoma vitabu nilivyokuolodheshea, utapata jibu la swali lako. na kama bado kafuatilie youtube "ROBERT TV TANZANIA" Mungu kaweka sheria na kanuni kwa binadamu.
 
ukisoma vitabu nilivyokuolodheshea, utapata jibu la swali lako. na kama bado kafuatilie youtube "ROBERT TV TANZANIA" Mungu kaweka sheria na kanuni kwa binadamu.
Kwanza, Mungu hayupo.

Pili, Hizo sheria unazo dai ziliwekwa na Mungu ni Sheria za wanadamu wachache wajanja walio unda mfumo wa kula hela za Wajinga kwa jina la Sadaka.

Tatu, Vitabu vyote vya kidini ni stori za kusadikika, Fiction stories.
 
Kwanza, Mungu hayupo.

Pili, Hizo sheria unazo dai ziliwekwa na Mungu ni Sheria za wanadamu wachache wajanja walio unda mfumo wa kula hela za Wajinga kwa jina la Sadaka.

Tatu, Vitabu vyote vya kidini ni stori za kusadikika, Fiction stories.
UNAWEZA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU HAYUPO!?
 
UNAWEZA KUTHIBITISHA KUWA MUNGU HAYUPO!?
Na wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Kitu kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake kwa vile hakipo na hakijulikani.

Ukisema kitu kipo ndio unatakiwa uthibitishe kipoje.
 
Mimi ni mkristo lakini usimlalamikie mwamposa kumbuka imani haba ndio wanaoteseka ukiona mwenzio kapiga mihayo na ww tiyar unataka kupiga mihayo ukiona mwenzio kasimama anakojoa na ww mule mule unataka kukojoa vingine ni kuviacha vipite wala havikuongezei na kukupunguzia chochoye
 
Na wewe unaweza kuthibitisha Mungu yupo?

Kitu kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kuto kuwepo kwake kwa vile hakipo na hakijulikani.

Ukisema kitu kipo ndio unatakiwa uthibitishe kipoje.
tunaomba na MUNGU anajibu! huo ndo uthibitisho kuwa Mungu yupo. siku ukiumwa na madaktari na waganga wakashindwa kukutibu, nitafute nikuonyeshe MUNGU. BINAFSI, MWAMPOSA NI NABII WA UWONGO. HAKUNA KUHANI WA MUNGU ASIYEHUBIRI KUWA UFALME WA MUNGU UMEKARIBIA NA KUKEMEA DHAMBI. HAKUNA KUHANI WA MUNGU ANAYETOZA WATU FEDHA ILI WAPOKEE MIUJIZA YA MUNGU. YESU anasema; MMEPATA BURE, TOENI BURE.
 
Hiyo namba 3 ndio ulipo utapeli wa Hawa jamaa, hata Marehemu Rwakatare alikuwa nayo hii.
 
yangoswe muachie ngoswe labda kama hujui siku hizi wanahubiri mafanikio ukitaka gari Nyumba mtoto mke pisi Kali zamani walikuwa wanahubiri wokovu ndio maana walikuwa wachache makanisani na mapato yalikuwa hafifu sana
Swali kwako mkuu, iv kuhubiriwa mafanikio ni jambo baya unataka ahubiri umaskini! swala kama ni kuhubiri mafanikio mbna hata motivation speaker hawatupiwi lawama watu wanaangalia out come baada ya mahubiri yako
 
kujaza watu mbna hata CCM na chadema wanajaza watu! na hujawahi lalamika mkuu
 
Naku uliza hivi,

Mungu muweza wa yote anahitaji sadaka ya nini? Wakati yeye anaweza yote?
Swali zuri, subiri atakujibu! sasa mimi nikuulize wewe unahisi mungu anahitaji nini kutoka kwako...nakazia...wajibu wako ni nini kwa mungu au mungu amekuumba ili iweje.... nasubiri majibu..kama hujui wajibu wako kwa mungu basi huna sababu ya kuwepo duniani!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…