MWAMPOSA: Unforgettable overnight tutumalizana na HIV, Nuksi, Mikosi, Mabalaa, Siasa na kama kila unachokifanya hakifanikiwi Kawe inakuhusu

Injili ya kweli bila vitendo hakuna tofauti na mganga wa kienyeji
Utamaduni wa kubeba udongo, kunawa/kukanyaga mafuta, kubeba/kupeleka jina tulizoea kuuona kwa waganga wa kienyeji, siku hizi naona ni kanisani
 
Bila shaka Watu watabubujikwa sana machozi ya furaha kwa kupata majibu ya maswali yao katika maisha yao yaliyoandamwa na changamoto mbalimbali.Nawasihi watu wanende wakakutane na mkono hodari wa Mungu wa Ibrahim ,ISaka na Yakobo.
Bila kusahau Mungu wa Yuda eskaliot
 
Utamaduni wa kubeba udongo, kunawa/kukanyaga mafuta, kubeba/kupeleka jina tulizoea kuuona kwa waganga wa kienyeji, siku hizi naona ni kanisani
Unajua wanganga huwa Wana -copy vitu vya Nuru wanavifanya kwa aina ya Giza,
 
Naona mda wa kutolewa makafara umewadia,hata ukisukumwa jitahidi usiende chini maana ukienda tu chini ndio habari yako imekwisha
 
Have never seen this kind of bullshit in my life. Anyways wajinga ndio waliwao.
 
Number 13,,ndio inasema wafe wakati mungu anasema tusamehane.alafu yule mama anasema miaka 3 gesi sushi ktk mtungi wake baada kupokea neno huko
 
Amina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…