Yaani redi kadi moja na penati moja mmeumia kiasi hiki, mmesahau timu ya simba imepata penati mbili, na mechi tatu wamecheza na timu zilizopewa kadi nyekundu. Nyie kwenu ishakuwa fasheniWanatamba wana timu nzuri ila Wananunua marefa
Yani nilikuwa zangu mishe narudi nakuta bi mkubwa anaangalia hiyo mechi na ni mshabiki wa Yanga ila akaniambia "huyu kocha anatupendelea nawaonea huruma hawa Ruvu" nikamwambia "sio kocha ni refa".Sasa we ulitaka refa afanyeje? ungemlipia madeni yake?
Sema hapa CAF imulike tochi yake TFF kwasababu wao ndio wanafuga ubovu kwa kuwapanga marefa ambao wamekata ringi wachezeshe mechi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani Nyie Ubora Wenu Uko Wapi Kwanza?? Na Mna Rekodi Gani Za Maana Nyie???? Au Ndo Iyo Kuishia Robo Fainali Msimu Wa Corona Kombe La Africa??, Mfunge Namungo Kwanza Apo Kesho.Hiv uzur wa Yanga uko wap ?? Ina record gn kimataifa Kama kwel ni tim nzur?? Kubebwabebwa kunawapumbaza Sana ndo maana kimataifa mnapgwa mbele na nyuma
Hehehehehee kuona ni kuamini, Yanga hii inapiga mpira ambao haujawahi kuonekana Tanzania na Afrika Mashariki na kati, inavutia kuitazama, kuna mda wanashambulia wote mpaka mabeki, anabaki kipa tu nyuma nawaonea huruma Simba kwa uoga mlionao dhidi ya Yanga, tukikutana tutawadhalilisha sn, ona hapa chini timu nzima ilienda kushambulia, ss kwnn timu pinzani isifanye makosa [emoji116][emoji116]Yani nilikuwa zangu mishe narudi nakuta bi mkubwa anaangalia hiyo mechi na ni mshabiki wa Yanga ila akaniambia "huyu kocha anatupendelea nawaonea huruma hawa Ruvu" nikamwambia "sio kocha ni refa".
Nikajisemea tu kama bi mkubwa kaona kuna upendeleo na sio mfuatiliaji sana basi itakuwa kuna walakini. Kumbe sio yeye tu alieona bana.
Bas tumelifuta goli moja la penat yabaki mawiliKwenye ile penalty aliyewapa lile goli la pili ET kasema sonso ameshika Wiz mtupu mpira haukumgusa sonso mwamuz ameingia na matokeo yake
Sis tunacheza na kupata matokeo kihalali na ndo maana hata kimataifa tunafany vzur lakn nyie mnaopendelewa hapa mkienda kimataifa mnatuaibsha tu,maana kule hawapendelei[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwani Nyie Ubora Wenu Uko Wapi Kwanza?? Na Mna Rekodi Gani Za Maana Nyie???? Au Ndo Iyo Kuishia Robo Fainali Msimu Wa Corona Kombe La Africa??, Mfunge Namungo Kwanza Apo Kesho.
Unaposema mnafanya vzr kimataifa unamaanisha nini? Kwamba Yanga haijawahi kufika robo fainali klabu bingwa au? Tena kwa taarifa yako Yanga ndio ya kwanza Tz kufika robo fainali tena kipindi hicho dunia hakuna magonjwa ya ajabu ajabu tofauti na nyinyi mliobebwa na corona msimu uliopita.Sis tunacheza na kupata matokeo kihalali na ndo maana hata kimataifa tunafany vzur lakn nyie mnaopendelewa hapa mkienda kimataifa mnatuaibsha tu,maana kule hawapendelei
Wachezaji kuwa wengi kwenye goli la timu pinzani sio kipimo cha kuonesha uhalali wa ushindi. Mnaweza mkawa wengi mkatengeneza umoja wa kikoba ambao hauna impactHehehehehee kuona ni kuamini, Yanga hii inapiga mpira ambao haujawahi kuonekana Tanzania na Afrika Mashariki na kati, inavutia kuitazama, kuna mda wanashambulia wote mpaka mabeki, anabaki kipa tu nyuma nawaonea huruma Simba kwa uoga mlionao dhidi ya Yanga, tukikutana tutawadhalilisha sn, ona hapa chini timu nzima ilienda kushambulia, ss kwnn timu pinzani isifanye makosa [emoji116][emoji116]View attachment 1996268
Kwa hyo nyiny Corona ndo imewadidimiza mpaka mkaanza kuhonga waamzi ???Unaposema mnafanya vzr kimataifa unamaanisha nini? Kwamba Yanga haijawahi kufika robo fainali klabu bingwa au? Tena kwa taarifa yako Yanga ndio ya kwanza Tz kufika robo fainali tena kipindi hicho dunia hakuna magonjwa ya ajabu ajabu tofauti na nyinyi mliobebwa na corona msimu uliopita.
Yanga itakuumiza sn msimu huu, nikushauri acha kuangalia mechi za Yanga.Wachezaji kuwa wengi kwenye goli la timu pinzani sio kipimo cha kuonesha uhalali wa ushindi. Mnaweza mkawa wengi mkatengeneza umoja wa kikoba ambao hauna impact
Na ndio maana kuna msemo unasema panya wengi hawachimbi shimo, na hapo ndipo ilihitajika nguvu ya ziada kutoka kwa mchezaji wenu aliyevalia sare za refa
Inaonekana iyo bangi wewe unaivutia chooni ndo maana nyeusi unaona nyeupe na nyeupe unaona nyeusi,,,wapumbavu Kama wewe ndo wanarudisha nyuma soka la hii nchi, kama ujui kitu ni bora ukae kimya sio kuropoka usichokijua,Maelezo ya kweny penart ndo ntakujua kuwa upo upande gan
Acha ushenz,kamtukane mama yako,sjaanzisha Uzi ili tutukanane,haraf sjakaribisha mvuta bang Kama wew
Kuona ni kuamini mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hyo nyiny Corona ndo imewadidimiza mpaka mkaanza kuhonga waamzi ???
Ahaaa Si Mpo Kombe La Shirikisho Sasa, Aya Ngoja Tusubiri Nyie Msiopendelewa Jinsi Mtakavyopata Hayo Matokeo Yenu Ya Kihalali Na Yasiyotia Aibu.Sis tunacheza na kupata matokeo kihalali na ndo maana hata kimataifa tunafany vzur lakn nyie mnaopendelewa hapa mkienda kimataifa mnatuaibsha tu,maana kule hawapendelei