Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Sijaomba ushauri lakiniYanga itakuumiza sn msimu huu, nikushauri acha kuangalia mechi za Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaomba ushauri lakiniYanga itakuumiza sn msimu huu, nikushauri acha kuangalia mechi za Yanga.
Tunachojua sisi tumeshinda hayo mengine kajadili na mkeo chumbani.Katoa red cad kimakosa harafu pia katoa penart kimakosa
Watalam wa soka karibun kwa maon yenu,ushabik tuuweke pemben
Kubishana na mwehu Kama wew ni Kaz Sana, nlizan Makonda alimalza wavuta bang kumbe bado mpo??Inaonekana iyo bangi wewe unaivutia chooni ndo maana nyeusi unaona nyeupe na nyeupe unaona nyeusi,,,wapumbavu Kama wewe ndo wanarudisha nyuma soka la hii nchi, kama ujui kitu ni bora ukae kimya sio kuropoka usichokijua,
Sawa mkuu ila pole mana najua maumivu mnayopitia kwa ss.Sijaomba ushauri lakini
Awapi wala siumii na wala sishangazwi ila nashangazwa na wanaoshangazwa na watu wanaoshangazwa na maamuzi ya kocha kwenye mechi ya leoSawa mkuu ila pole mana najua maumivu mnayopitia kwa ss.
Ok msimu huu naona makolo tayari wameshachukua ubingwa wa AfricaHawa mbwa hawajawahi kubeba ubingwa kihalali ndio maana kimataifa huwa wanatoka mzunguko wa kwanza tu sababu kule hakuna janja janja.
Ila Simba SC ikichukua ubingwa tarajia haya .
1.kufanya vizuri kimataifa.
2. Taifa stars kuwa bora.
UTO wakiwa mabingwa tarajia haya.
1.Kutolewa hatua za awali kimataifa.
2.Taifa stars kugongwa saba.
Simba mwaka huu mtakuwa marefa na wachambuzi.Soma sheria namba Tisa,hap ilitakiwa kad ya njano,kwenye penart alieshka mpra ni Mayele mchezaj wa Yanga,,, acha ushabk ndugu yangu,tunataka kukuza soka letu lijulikane kimataifa tukiruhusu huu uhun hatutafanikiwa kamwe
Mtasema yote mwaka huuWanatamba wana timu nzuri ila Wananunua marefa
Acha ujinga dogo mamake unamtaja hapa unamjua...Maelezo ya kweny penart ndo ntakujua kuwa upo upande gan
Acha ushenz,kamtukane mama yako,sjaanzisha Uzi ili tutukanane,haraf sjakaribisha mvuta bang Kama wew
Naamini hata wewe ulijua kama ile sio penalty baada ya reply kadhaa,Ila mkuu kumbuka kua referee Hana reply wala misaada wa VAR.Awapi wala siumii na wala sishangazwi ila nashangazwa na wanaoshangazwa na watu wanaoshangazwa na maamuzi ya kocha kwenye mechi ya leo
wamesahau kua vitimbwi vya marefa kwenye mechi za yanga ni kawaida
Mkuu hivi kile kipindi cha goal kona ulikua bado unashabikia yanga?
Kufanya vizuri ni kukoje?Hawa mbwa hawajawahi kubeba ubingwa kihalali ndio maana kimataifa huwa wanatoka mzunguko wa kwanza tu sababu kule hakuna janja janja.
Ila Simba SC ikichukua ubingwa tarajia haya .
1.kufanya vizuri kimataifa.
2. Taifa stars kuwa bora.
UTO wakiwa mabingwa tarajia haya.
1.Kutolewa hatua za awali kimataifa.
2.Taifa stars kugongwa saba.
Kama Mchezaji (sio kipa) akicheza mpira kwa mkono eneo la goli adhabu yake nini?Katoa red cad kimakosa halafu pia katoa penalty kimakosa.
Wataalamu wa soka karibuni kwa maoni yenu, ushabiki tuuweke pembeni
Sasa inatakiwa ivuke mipaka, maana hata Sudani Kusini ni East AfricaKila timu itakayocheza na Yanga msimu huu lazima iseme imeonewa mana Yanga inakulazimisha kufanya makosa, ni kama Barca ya Pep ilikuwa inaonekana inabebwa kila mechi kumbe kiwango kilikuwa kikubwa mno. Pasi 20 wapinzani hawajagusa mpira si mchezo mzee, nasema hakuna timu hapa East Africa imewahi kupiga mpira kama Yanga ya sasa nasisitiza HAKUNA.
Sio kweli bro mlinzi anapofanya faulo kwa mchezaji anayeelekea kufunga na mlinzi huyo anapokuwa ni last defender hiyo ni red cardSoma sheria namba Tisa,hap ilitakiwa kad ya njano,kwenye penart alieshka mpra ni Mayele mchezaj wa Yanga,,, acha ushabk ndugu yangu,tunataka kukuza soka letu lijulikane kimataifa tukiruhusu huu uhun hatutafanikiwa kamwe
Red card imetolewa kwa sheria kwamba mchezaji wa mwisho ukimkata ni straight red, penalty jamaa alishika au labda kama sheria mpya zinaruhusu beki kushika, c unajua Corona imeathiri ufanisi wa migu
Hii kweli ilikuwa ni penalti, watu acheni ushabiki wa kijinga. Ebu angalia mkono wa kulia wa huyo beki wa Ruvu, ukishauona ndio ubishi unapoishia. Ni red card ya haki kabisa na penalti ya haki vilevile.MnasemajeeeView attachment 1996489
Kuhusu red card, refa alikuwa sahihi kwa 100%. Beki wa mwisho wa ruvu alimcheza faulo mshambuliaji wa Yanga aliyekuwa anaelekea kufunga. Kwa sheria za Fifa pale mtu anapewa kadi nyekundu moja kwa moja, hakuna mjadala.Katoa red cad kimakosa halafu pia katoa penalty kimakosa.
Wataalamu wa soka karibuni kwa maoni yenu, ushabiki tuuweke pembeni
Makolo mtateseka sana mwaka huu.....ile penati siyo sababu ya kushika mpira we nungununguSoma sheria namba Tisa,hap ilitakiwa kad ya njano,kwenye penart alieshka mpra ni Mayele mchezaj wa Yanga,,, acha ushabk ndugu yangu,tunataka kukuza soka letu lijulikane kimataifa tukiruhusu huu uhun hatutafanikiwa kamwe