Mwamuzi Eli Sasii na mapenzi ya wazi kwa timu ya Simba na chuki iliyopindukia kwa timu ya Yanga

Mwamuzi Eli Sasii na mapenzi ya wazi kwa timu ya Simba na chuki iliyopindukia kwa timu ya Yanga

Adimu

JF-Expert Member
Joined
Aug 22, 2013
Posts
661
Reaction score
297
Ninaandika uzi huu kwa maslahi ya ligi yetu na ustawi wa soka letu liweze kupiga hatua. Katika mchezo wa tarehe 10/4/2022 mwamuzi wa akiba Eli Sasii alionyesha maumivu ya wazi kabisa kutokana na matokeo ya pale Kilimanjaro kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba.

Hii imejidhihirisha kwa vitendo vya kukosa weledi kabisa hasa kulingana na kazi yake na uhusika wake kwenye mechi kati ya Geita gold dhidi ya Yanga. Jambo la kwanza ni kitendo cha yeye kushangilia goli la Geita Gold.

Kitu cha pili ni kitendo cha mshambuliaji wa Yanga Fiston kalala Mayele kukanyagwa kwa makusudi mchezo ukiwa umesimama na beki wa Geita gold Kelvin Yondani na kocha wa Yanga alipokwenda kwa mwamuzi wa akiba Eli Sasii kulalamika huyu mwamuzi alimjia juu na kumtolea maneno makali na kisha kumuita mwamuzi wa kati akimuelekeza kumpa kadi nyekundu kocha wa Yanga.

Kama haitoshi mwamuzi huyu wa akiba alidiriki kulusha chupa ya maji kwa mashabiki wa Yanga huu ni upuuzi uliotukuka. Mamlaka husika natambua mnaweza kupitia hili na huenda mliona pia pale uwanjani, sasa kazi ni kwenu kuwakumbatia watu kama hawa au kuwaadabisha kwa maslahi ya soka letu.
 
Duh hiyo clip ya kushangilia goal la geita naiomba. Ila kama ni hivo angeweza kwa nn hakubailisha penalty ya yanga, au aliona aibu?
All in all board ya mashindano ipitie upya kadi nyekundu ya Nabbi
 
Duh hiyo clip ya kushangilia goal la geita naiomba. Ila kama ni hivo angeweza kwa nn hakubailisha penalty ya yanga, au aliona aibu?
All in all board ya mashindano ipitie upya kadi nyekundu ya Nabbi
Nazani wataliangalia hilo, na ile kamati inayokaa kupitia matukio ya hizi mechi isipoona kile kilichofanywa na Kelvin Yondani itabidi tujitafakari mala mbili
 
Tukio la Yondani linaleta maswali mengi kwakweli
Angefanya hivyo mchezaji wa Yanga, basi kuna watu wangetokwa na mishipa ya shingo mpaka kukaribia kukata roho. Wakililia kutolewa kwa adhabu kali!!

Ila kama kosa la aina hiyo hiyo amefanya mchezaji wa Geita Gold, basi usishangae hata adhabu ya kufungiwa mechi 3 na kulipa faini, inaweza isimkute.
 
Ukisoma vizuri utaelewa
Unamwambia akasome vizuri vipi ilhali umeandika upuuzi kuchanganya matukio mawili ya Simba SC na Polisi ili tu utilie nguvu hicho unachokiamini.

Weledi ingetosha kueleza au kuzungumzia Tukio la Yondani, ambalo si la kiungwana au ungeelezea tukio la Kocha Nabbi.
 
Ninaandika uzi huu kwa maslahi ya ligi yetu na ustawi wa soka letu liweze kupiga hatua. Katika mchezo wa tarehe 10/4/2022 mwamuzi wa akiba Eli Sasii alionyesha maumivu ya wazi kabisa kutokana na matokeo ya pale Kilimanjaro kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba.

Hii imejidhihirisha kwa vitendo vya kukosa weledi kabisa hasa kulingana na kazi yake na uhusika wake kwenye mechi kati ya Geita gold dhidi ya Yanga. Jambo la kwanza ni kitendo cha yeye kushangilia goli la Geita Gold.

Kitu cha pili ni kitendo cha mshambuliaji wa Yanga Fiston kalala Mayele kukanyagwa kwa makusudi mchezo ukiwa umesimama na beki wa Geita gold Kelvin Yondani na kocha wa Yanga alipokwenda kwa mwamuzi wa akiba Eli Sasii kulalamika huyu mwamuzi alimjia juu na kumtolea maneno makali na kisha kumuita mwamuzi wa kati akimuelekeza kumpa kadi nyekundu kocha wa Yanga.

Kama haitoshi mwamuzi huyu wa akiba alidiriki kulusha chupa ya maji kwa mashabiki wa Yanga huu ni upuuzi uliotukuka. Mamlaka husika natambua mnaweza kupitia hili na huenda mliona pia pale uwanjani, sasa kazi ni kwenu kuwakumbatia watu kama hawa au kuwaadabisha kwa maslahi ya soka letu.
yanga mnapenda kudeka!!
 
Angefanya hivyo mchezaji wa Yanga, basi kuna watu wangetokwa na mishipa ya shingo mpaka kukaribia kukata roho. Wakililia kutolewavkwa adhabu kali!!

Ila kama kosa la aina hiyo hiyo amefanya mchezaji wa Geita Gold, basi usishangae hata adhabu ya kufungiwa mechi 3 na kulipa faini, inaweza isimkute.
TFF inaongozwa na Raisi na ovyo sana ever never
 
Unamwambia akasome vizuri vipi ilhali umeandika upuuzi kuchanganya matukio mawili ya Simba SC na Polisi ili tu utilie nguvu hicho unachokiamini.

Weledi ingetosha kueleza au kuzungumzia Tukio la Yondani, ambalo si la kiungwana au ungeelezea tukio la Kocha Nabbi.
Zero brain
 
Ninaandika uzi huu kwa maslahi ya ligi yetu na ustawi wa soka letu liweze kupiga hatua. Katika mchezo wa tarehe 10/4/2022 mwamuzi wa akiba Eli Sasii alionyesha maumivu ya wazi kabisa kutokana na matokeo ya pale Kilimanjaro kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba.

Hii imejidhihirisha kwa vitendo vya kukosa weledi kabisa hasa kulingana na kazi yake na uhusika wake kwenye mechi kati ya Geita gold dhidi ya Yanga. Jambo la kwanza ni kitendo cha yeye kushangilia goli la Geita Gold.

Kitu cha pili ni kitendo cha mshambuliaji wa Yanga Fiston kalala Mayele kukanyagwa kwa makusudi mchezo ukiwa umesimama na beki wa Geita gold Kelvin Yondani na kocha wa Yanga alipokwenda kwa mwamuzi wa akiba Eli Sasii kulalamika huyu mwamuzi alimjia juu na kumtolea maneno makali na kisha kumuita mwamuzi wa kati akimuelekeza kumpa kadi nyekundu kocha wa Yanga.

Kama haitoshi mwamuzi huyu wa akiba alidiriki kulusha chupa ya maji kwa mashabiki wa Yanga huu ni upuuzi uliotukuka. Mamlaka husika natambua mnaweza kupitia hili na huenda mliona pia pale uwanjani, sasa kazi ni kwenu kuwakumbatia watu kama hawa au kuwaadabisha kwa maslahi ya soka letu.
Acha upuuzi kutupa lawama kwa wengine.

Ina maana Sasii alikuwepo Moshi saa 10-12 alafu ndani ya lisaa limoja akaondoka kwenda DSM kusimamia mechi ya Yanga vs Geita?

Bahati mbaya sana, hata Gongowazi wenzako watakuamini.
 
Acha upuuzi kutupa lawama kwa wengine.

Ina maana Sasii alikuwepo Moshi saa 10-12 alafu ndani ya lisaa limoja akaondoka kwenda DSM kusimamia mechi ya Yanga vs Geita?

Bahati mbaya sana, hata Gongowazi wenzako watakuamini.
Tumia akili, soma vizuri acha kukulupuka na kuingea mavi mavi
 
Back
Top Bottom