Mwamuzi Eli Sasii na mapenzi ya wazi kwa timu ya Simba na chuki iliyopindukia kwa timu ya Yanga

Mwamuzi Eli Sasii na mapenzi ya wazi kwa timu ya Simba na chuki iliyopindukia kwa timu ya Yanga

Nafuatilia mechi niliyoweka mzigo hapa, Moses Phiri mnyama anaweka mpira kambani
 
Mechi mmebebwa halafu unakuja kujiliza liza hapa wanaume wakubembeleze?

Hizi tabia mbona zinakuwa sugu huko utopolo?

Mpira sio mchezo wa mapenzi,hivyo mtu kugongwa kidogo sio kitu cha ajabu.
Ninaandika uzi huu kwa maslahi ya ligi yetu na ustawi wa soka letu liweze kupiga hatua. Katika mchezo wa tarehe 10/4/2022 mwamuzi wa akiba Eli Sasii alionyesha maumivu ya wazi kabisa kutokana na matokeo ya pale Kilimanjaro kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba.

Hii imejidhihirisha kwa vitendo vya kukosa weledi kabisa hasa kulingana na kazi yake na uhusika wake kwenye mechi kati ya Geita gold dhidi ya Yanga. Jambo la kwanza ni kitendo cha yeye kushangilia goli la Geita Gold.

Kitu cha pili ni kitendo cha mshambuliaji wa Yanga Fiston kalala Mayele kukanyagwa kwa makusudi mchezo ukiwa umesimama na beki wa Geita gold Kelvin Yondani na kocha wa Yanga alipokwenda kwa mwamuzi wa akiba Eli Sasii kulalamika huyu mwamuzi alimjia juu na kumtolea maneno makali na kisha kumuita mwamuzi wa kati akimuelekeza kumpa kadi nyekundu kocha wa Yanga.

Kama haitoshi mwamuzi huyu wa akiba alidiriki kulusha chupa ya maji kwa mashabiki wa Yanga huu ni upuuzi uliotukuka. Mamlaka husika natambua mnaweza kupitia hili na huenda mliona pia pale uwanjani, sasa kazi ni kwenu kuwakumbatia watu kama hawa au kuwaadabisha kwa maslahi ya soka letu.
 
Ninaandika uzi huu kwa maslahi ya ligi yetu na ustawi wa soka letu liweze kupiga hatua. Katika mchezo wa tarehe 10/4/2022 mwamuzi wa akiba Eli Sasii alionyesha maumivu ya wazi kabisa kutokana na matokeo ya pale Kilimanjaro kati ya Polisi Tanzania dhidi ya Simba.

Hii imejidhihirisha kwa vitendo vya kukosa weledi kabisa hasa kulingana na kazi yake na uhusika wake kwenye mechi kati ya Geita gold dhidi ya Yanga. Jambo la kwanza ni kitendo cha yeye kushangilia goli la Geita Gold.

Kitu cha pili ni kitendo cha mshambuliaji wa Yanga Fiston kalala Mayele kukanyagwa kwa makusudi mchezo ukiwa umesimama na beki wa Geita gold Kelvin Yondani na kocha wa Yanga alipokwenda kwa mwamuzi wa akiba Eli Sasii kulalamika huyu mwamuzi alimjia juu na kumtolea maneno makali na kisha kumuita mwamuzi wa kati akimuelekeza kumpa kadi nyekundu kocha wa Yanga.

Kama haitoshi mwamuzi huyu wa akiba alidiriki kulusha chupa ya maji kwa mashabiki wa Yanga huu ni upuuzi uliotukuka. Mamlaka husika natambua mnaweza kupitia hili na huenda mliona pia pale uwanjani, sasa kazi ni kwenu kuwakumbatia watu kama hawa au kuwaadabisha kwa maslahi ya soka letu.
Nenda CAS!๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mechi mmebebwa halafu unakuja kujiliza liza hapa wanaume wakubembeleze?

Hizi tabia mbona zinakuwa sugu huko utopolo?

Mpira sio mchezo wa mapenzi,hivyo mtu kugongwa kidogo sio kitu cha ajabu.
Ni kiwango Bora Sana cha Uzuzu kushabikia kitendo cha Yondani.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Utopolo bhana badala mjipange na nusu fainal, mpo buzzy na majungu na kudeka hovyooo. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3]
Anaye paswa kujipanga ni aliye shangilia draw

Yanga anapaswa jiuliza huyu bwana alipataje draw, kujipanga Alisha kupanga tangu mwaka jana
 
Anaye paswa kujipanga ni aliye shangilia draw

Yanga anapaswa jiuliza huyu bwana alipataje draw, kujipanga Alisha kupanga tangu mwaka jana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] poleeeeeeh
 
Back
Top Bottom