Ghiti Milimo
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 4,748
- 7,061
Ndio maana inashauriwa wanyang'anywe leseni!ivi wale waamuzi wa offside za ajabu zikaachwa anzia kwa namungo vs nyau walifungiwa muda gani .
hadi waziri aliingilia kati lile sakata la magoli ya offside leo nyau mnapata wapi nguvu ya kulalamika .
umenufaika na point zaid ya 15 toka kwa waamuzi leo wasema mabingwa wa kihistoria wanamuhujumu lambalamba