oNDOA POROJO ZISIZO NA MASHIKO.
Kwa waliobanwa na Vodacom, na waliokula spin za Vodacom unazoziita porojo wewe wao wanaweza kuziona - na kuiona hii movie- kama ushahidi wa kupeleka mtu kiwanja cha "The Hague" kwenye International Criminal Court hapo kama Wanyarwanda waliochocgea mauaji kwa redio walivyopelekwa Arusha.
Kwa hiyo ukiona pumba usimind, sepa tu bila hata kuhusisha handle yako. Otherwise unawapa uwanja kina Kiranga wenye njaa, na wanaoangalia concepts na facts bila kujali jina, kukula sawasawa.
Hata kama itakuwa to Mwamvita's advantage.
Somewhere somehow we must have principles above personalities.
Again, kama mnataka kumbalasa huyu demu mbalaseni on the merit, sio kwa sababu mtu kaleta tangazo hapa relevantly.
At the risk of violating "two wrongs don't make a right", tunasikia habari zilizo less relevant hapa. Lakini on the merit, hata kama mtu humpendi Mwamvita hii habari ni relevant, kwa sababu kama unaamini Mwamvita ni airhead na anapandishwa vyeo kwa sababu za kisiasa, hii ni documentation ya the rise of Mwamvita, so why would you fight this documentation?